Amani iwe nanyi wadau!
Kabla ya kwenda kwenye mada napenda kuwapongeza sana Jamii Forums. Pamoja na vikwazo na changamoto zote napenda kusema ni chombo pekee Tanzania ambacho kwenye uchaguzi huu kimejaribu kweli kusimama kwenye Haki na Kweli. Mijadala yote ya CCM na CHADEMA inajadiliwa kwa...
Habari wakuu nahitaji msaada wa kupata mashine ya kukamua juice ya miwa.
Nipo Dar es salaam kama kuna mtu unaweza kunielekeza zilipo kwa hapa Dar ntakushukuru sana
Au kama unaweza kunisaidia contacts za mahali nitapata hizo mashine.
Mashine Ipo Ruguruni , Vituo Viwili kutoka Mbezi Mwisho
Gharama za Kukodi ni laki 5 kwa mwez mashine na godown lake...Maongezi yapo (Baada ya kukagua na kulizika)
Habarin wakuu,
Nina Uza mashine za incubator kwa atakae kuwa muhitaji.
Mashine zinatoka china pia ukitaka toleo la mwingereza pia utapata.
Kwa size yoyote unayoitaka.pia kwa anaetaka vifaranga vya kuku pia tunaweza kukudelivery popote ulipo.
Kwa maelezo zaidi tuwasiliane kwa no zangu ni...
Inauzwa mashine ya kuchomea aina ya CEM SV-260.
imetumika lakini bado iko kwenye hali nzuri sana
Bei ni mil 1.5
Iko Dar
njoo 0763969066
ziko storage nafasi ni finyu sikupata uwezo wa kupiga picha vizuri.
nauza mashine ya kusaga na kukoboa nafaka aina ya deer kutoka India.
unauziwa mashine ikiwa na mota zake pamoja na control boxes na switches na waya za kutoka kwenye mota kwenda kwenye control boxes na switches
mota zake ni made in german na moja ni ya hp 50 na nyingine ni hp 30 na zote ni nzima...
Hallow wana jamvi nimewaletea mashine nyingine ya kuranda na kuchana mbao yenye uwezo mkubwa baada ya ile nyingine kununuliwa bei ni sh. 2,800,000 karibu tuwasiliane bei ni rahisi sana tofauti na ukiagiza nje, pia haina shida yoyote kama unavyoiona kwenye picha ipo kazini. inauzwa kwa kuwa haina...
Tumuombe mungu atujalie uzima maana katika kipindi hiki tutaona mengi ya kuthibitisha kwamba mwafrika ni Tabaka la mwisho kabisa kifikla,katika kipindi hiki cha kampeni kuna mgombea amejizolea kundi dogo la wanaomsapoti kwa hapa Tanzania tunawaita "MAKANJANJA" kutokana na tabia walizokuwa...
Watu ni wengi na wote wanataka kwenda kupima afaya zao kwa mtaalamu wa tiba mbadala na wanaeleza ya kuwa mtaalamu huyu ana kifaa cha kupima mwili mzima na kujua shida zako zote.
Wadau, naomba mwenye kujua jina la kifaa hicho na gharama yake
Naweza sema CCM ya leo inaangamia kutokana na watu wake ama kukosa maarifa,au kutokana na wao kukataa tamaa na sasa wanaamua waende tu hivyo hivyo ili mradi tu bado wana dola mkononi.
Kwa maneno mengine,kipimo cha namna gani mambo yao yanaenda vizuru sio tena ni namna gani wanakubalika kwa...
Habari wakuu.
Miezi michache iliyopita nilianzisha biashara ya vilainishi vya magari. Biashara inakuwa vizuri lakini ninaona kuna haja ya kuongeza huduma nyingine.
Ninahitaji mashine ya ku-press bush je naweza ipata wapi??? Na je naweza pata angalau bei ya soko ya mashine hiyo. Wateja wangu...
Wazee wenye elimu wametujuvya ya kuwa mara hii CCM inaanguka na sehemu ambayo itapigwa na chini ni Zanzibar ni baada ya kutokea tetemeko la ardhi baharini hivi majuzi, wazee hao walienda mbali zaidi na kusema hii sio dalili nzuri kwa CCM na kwa ishara hizi halina dawa wakubali tu bora nusu shari...
Habari wadau
Nauza mashine ya kuprint tshirt heat press machine heavy duty
Inatumika kuprint picha na maneno kwenye tshirt
Inafaa sana kuchapa tshirt za kampeni za wagombea.. na tshirt za kumbu kumbu ya msiba
Bei ya mashine ni shilingi milioni moja ( 1,000,000 )
Mashine ni heavy duty na...
Hizi mashine eti zinajaa na ikitokea hivyo unanunua kwa bei ile ile ya karibu ya milioni.
Ajabu ni kuwa mashine hizi zinazotumiwa na TRA kukusanyia kodi haziendi hata miaka 3 kujaa kwake na hasa ukiwa ni mlipa kodi mzuri unayetoa risiti kwa kila mauzo.
Inakuwaje mashine hizi zikijaa zisifutwe...
Sifa zake.
Ni mashine imara.
Huchana magogo mengi kwa mda mfupi na kwa ulaji mdogo wa mafuta na umeme kwa ile ya motor engine.
Inaweza kubebeka.
Inapatikana Arusha,Tanzania.
Bei ni shillingi million 17. Usiogope piga simu kwa namba hapo chini tutaelewana zaidi.
Kwa mawasiliano na malelezo...
Huu ndio muonekano wa sarafu za 200 baada ya kuzamishwa kwenye dubuli au bonanza mashine za kamari za kichina.
Hii mashine inaharibu sarafu sana kiasi kwamba hazisomeki wala kuonekana vizuri.
Mashine ya bonanza maarufu kama dubuli, unaweka 200 unacheza.
Hata serikali inachukua kodi kupitia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.