mashine

  1. M

    Kwanini mawakala wa mashine za TRA hawatoi risiti wakati wenyewe wana-solve ishu ya risiti?

    Habarini wakuu. Natumaini mko poa sana, narudi kwenye hoja yangu. Hivi kwanini haya makampuni yanayo dili na kurekebisha mashine zile za EFD wenyewe sio watoa risiti? Nashangaa maana tunawapelekea mashine zikizingua wazirekebishe lakini sasa balaa linakuja unaambiwa lipia huduma ukilipa...
  2. M

    Mwananchi inapumulia mashine

    Kampuni ya Mwananchi inayochapisha Mwananchi, The Citizen na Mwanaspoti ambayo kwa miaka mingi imekuwa ikiaminika kwa kuhabarisha kwa uwazi iko kwenye msukosuko. Pamoja na kushuka kwa biashara ya habari nchini, hali ya hewa so nzuri Mwananchi. Wafanyakazi wa idara ya matangazo wanasema kwamba...
  3. Abdistar

    INAUZWA Mashine ya kukamulia juisi ya miwa inauzwa

    Tunamashine mpya za kukamulia juice ya miwa ➡ Zinatumia betri hvyo unaweza fanya biashara hata mahali ambapo hakuna umeme, ➡ Bei ni 2.3 ml 📞±255657291795 WhatsApp kwa maelezo zaidi .
  4. pingli-nywee

    Maabara kuu nchini Tz ilikuwa na mashine mbovu ya kupima sampuli, ilikosa wataalamu wa kutosha na wasimamizi walikuwa watepetevu- Waziri Ummy Mwalimu

    Hii ni kwa wale majirani wetu ambao walikata kata mipapai yao, baada ya kutangaziwa kwamba mapapai yana Corona. Maabara kuu nchini Tz, Dar, imeumbuliwa baada ya uchunguzi kutoka kwa timu ya watu 10, ambayo iliteuliwa na waziri wa afya nchini Tz, Ummy Mwalimu. Uchunguzi wao ulibaini kwamba...
  5. RAKI BIG

    Tatizo la ukavu wa uke... Haya nyie Wadada mnaosema naumia wakati wa tendo njoo hapa

    Bpharm: Chriss Johny Tatizo la kuwa na ukavu ukeni hutokea wakati tishu za uke hukosa ute wa kutosha na uke kutokua na afya thabiti. Kwa kawaida, kuta za uke hukaa zimehifadhiwa na safu nyembamba ya ute maji. Dalili kuu ni kama vile kukosa hamu ya kuendelea KUSHIRIKI tendo, maumivu makali...
  6. G Sam

    Nimepita maeneo kwenye taasisi moja ya serikali nikakuta mashine ya kuzalisha barakoa inafungwa

    Hii ni hatua nzuri ya kufanywa na serikali maana sisi ni wadau wa kupaaza sauti juu ya mwenendo wa kusuasua wa mapambano dhidi ya ugonjwa huu wa COVID 19. Kuna sehemu nimepita kama nilivyoeleza kwenye heading na kushuhudia mashine hiyo ikifungwa tayari kwa kuanza uzalishaji wa barakoa. Lakini...
  7. OKW BOBAN SUNZU

    Zitto Kabwe ahoji ukimya wa matokeo ya uchunguzi wa ubovu wa vipimo vya Maabara Kuu ya Taifa

    Kupitia mtandao wa Kijamii, Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto amehoji ukimya wa matokeo ya uchunguzi wa ubovu wa vipimo ya Maabara Kuu ya Taifa baada ya Kumsimamisha Dkt. Nyambura baada ya mbuzi, mapapai nk kukutwa na COVID 19 Baada ya uchunguzi kukamilika tulitegemea haraka sana tupewe majibu...
  8. Analogia Malenga

    Virusi vya Corona: Zanzibar Yapokea Mashine Yenye Uwezo wa Kupima Watu 288 kwa Siku

    Zanzibar imepokea mashine moja yenye uwezo wa kupima sampuli 288 kwa saa 24. Mashine nyingine mbili zilizoagizwa zitafika nchini humo muda wowote kuanzia sasa. Zanzibar iliazimia kuwa na Maabara ya kisasa ya kupima COVID19 nchini humo ili wasiwe wanatuma sampuli kwenye maabara zilizoko Dar es...
  9. J

    Zanzibar yanunua mashine yake ya kupimia sampuli za COVID19, itapokelewa visiwani humo kesho

    Waziri wa afya wa Zanzibar mh Hamad Rashid amesema Zanzibar imeamua kununua mashine yake ya kupimia maambukizi ya Covid 19 ili kurahisisha upimaji na kupata vipimo kwa wakati. Mh Hamad amesema mashine hiyo itawasili nchini Zanzibar kesho na baada ya kufungwa takwimu zitaendelea kutolewa kwa...
  10. Y

    Msaada: Natafuta mashine za kunyoa nywele

    Kulingana na janga la Corona. Nimeamua madogo niwe nawanyoa mwenyewe nyumbani. Naomba kujua nitapata wapi hizi mashine kwa hapa Dar es Salaam?
  11. Obamamtoto

    Kujifukiza kwa kutumia mashine kwa milion mbili na laki tano tu (2.5m)

    katika vita ya kuendelea kupambana na corona kuna mashine tunazitengeneza (disinfectant walk through ) kama inavyooneka hapo chini kwenye picha na video .tushirikiane kupambana na janga hili kwa wanao hitaji tuwasiliane ni milioni mbili na laki tano tu.tupo MBEYA karibu na IYUNGA tunafika ulipo...
  12. Mzee Mwanakijiji

    Mashine ya Rostam inafanyaje kazi na imethibitishwa vipi?

    Nimeona mara kadhaa ndani ya wiki hii aliyekuwa Mbunge wa Igunga na Mfanyabiashara Maarufu Rostam Aziz akitoa kile kinachoitwa mashine za kunyunyizia dawa zenye kuua virusi. Mashine hizi ni "full body spray" kwamba mtu anaingia mashine zinatoa kitu kama manyunyu au mvuke ambao unadawa zenye...
  13. J

    Rostam Aziz amkabidhi Spika Ndugai mashine ya kuwapulizia wabunge dawa ya kuua virus ili kudhibiti Corona

    Mfanyabiashara maarufu nchini ndugu Rostam Aziz amemkabidhi Spika wa bunge Mh. Ndugai mashine ya kuwapulizia dawa wabunge ili kudhibiti maambukizi ya Covid 19. Sasa wabunge kabla ya kuingia Bungeni watapita kwenye mashine hiyo na kupuliziwa dawa mwili mzima kisha wataingia ukumbini. Maendeleo...
  14. diana chumbikino

    Mashine za kutafsiri kazi za Ubongo

    WANASAYANSI wameweza kuongeza utaalamu zaidi wa kutambua jinsi binadamu anavyozungumza kwa kuangalia mfumo wa ubongo wake. Wataalamu hao wameweza kuhamisha mfumo wa ubongo kwa jinsi sentensi zinavyoundwa katika uhalisia na kupata kiwango cha makosa cha asilimia tatu katika neno. Awali mashine...
  15. K

    Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) "mgonjwa anayepumulia kwenye mashine"

    Mimi kama mdau mkubwa wa Sekta ya kilimo kwa nyakati tofauti tofauti nimetembelea hii benki toka izinduliwe mwaka 2015 na kujaribu kupata mkopo kwa ajili ya shughuli zangu za kilimo na wakati mwingine kujaribu kusaidia wadau wenzangu kupata mikopo lakini katika hali ya kusikitisha saana haya ni...
  16. Pascal Mayalla

    Vita dhidi maambukizi ya corona Tanzania, kampuni ya Total Tanzania mfano wa kuigwa!. Ukifika lazima unawe, upimwe na mashine ndipo uruhusiwe kuingia!

    Wanabodi, Katika kusaidia kudhibiti Maambukizi ya virusi vya Corona, kukitokea any good practice, lets share ili na wengine waige. Leo nimetembelea makao makuu ya kampuni ya mafuta ya Total, Total Tanzania, ukifika pale Hatua ya kwanza ni lazima unawe na maji moto tiririka hapo nje na sabuni...
  17. wilson nisha

    INAUZWA Makambako, Njombe: Photocopy mashine Xerox 4265

    Photocopy machine xerox 4265, inauzwa IPO makambako-njombe. Simu 0676775220
  18. mambo_safi

    Jamani naomba bei za mashine hizi

    Aina nzuri ya hizi mashine naweza kuzipata wapi hapa Dar? Naomba na bei zake: 1. Mashine ya kujaza upepo (Air compressor) 2. Mashine ya kuchomelea (Welding machine)
  19. Martin Kemosabe

    Mashine ya nano liquid inakodishwa kwa kijana usiye na Ajira

    Nakodisha hii mashine ukafanye kazi popote unapopajua nitakufundisha jinsi ya kuitumia kisha nitakupa ukahangaike nayo unapopajua wewe baada ya sisi wawili kukubaliana,mimi kupajua kwenu/kwako kwa mwenyekiti wako wa mtaaa,nk nk baada ya mimi kujiridhisha na upatikanaji wako basi nitakukabidhi...
  20. mohamed hassani

    Mashine za kuchanganyia ubuyu zipo?

    Naulizia mashine ya kuchanganyia au kupikia ubuyu zinapatikana kweli?
Back
Top Bottom