mashine

  1. T

    Real estate business Tanzania inaelekea kufa kabisa, kwa sasa inapumulia mashine

    Biashara ya kujenga na kupangisha Tanzania inaelekea kufa kabisa. Sasa hivi hii biashara inapumulia mashine ICU. Kwa wakazi wa Dar es Salaam mtakuwa mashahidi, malls nyingi na majengo mengi ni matupu miaka sasa, Mkuki house sasa inaanza kujaa panya, Quality Centre and Plaza mnajua...
  2. Cannabis

    Muhimbili na Mloganzila zafunga mashine za kujifukiza. Kupata huduma hiyo ni Tsh. 5,000 tu

    Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na Mloganzila zimefunga mashine nne za kujifukiza. Wakati Muhimbili zikifungwa mashine tatu, Mloganzila imefungwa moja. Gharama ya kila mashine ni Sh7.5 milioni na kila moja ina uwezo wa kuhudumia watu sita kwa wakati mmoja wanaopaswa kukaa kati ya dakika tano...
  3. The Boss

    Mashine hizi nitatoa wapi?

    Anaejua mashine za kusaga plastics Hadi zinakuwa kama unga naomba info.. Hata kama mashine ni locally made.. Plastic kama chupa za maji na vifuniko vyake..
  4. M

    INAUZWA Rangi (wino) wa Photocopy mashine za CANON na HP

    Tunauza wino wa photocopy mashine aina ya CONON IR zote pamoja na HP PRINTERS.... Kwa Bei ya Shs 19,000/= kwa Jumla. Kwa mawawsiliano 0754257556 Kusafilisha mikoani BURE!
  5. Jzachwa

    Mashine ya kuhesabia pesa inauzwa

    ◉ Mashine hii inahesabu pesa zote za noti iwe fedha ya kigeni mfano:- dollar , euro, kwacha, Tshs n.k. ◉ Unaweza kuitumia ofisini kwako, dukani kwako katika matumizi mbalimbali ya kuhesabia pesa kwa uharaka zaidi na kwa uhakika zaidi. ◉ Tunakupatia Warranty ya miaka 2. Karibuni sana ◉ Bei...
  6. Sky Eclat

    Dunia inakwenda kwa kasi sana, unaweza kusaga mahindi nyumbani bila kwenda mashine

    Wale wanaowekeza kwenye mashine za kusaga nafaka. Matumizi yatakua ni kusaga unga mwingi labda kwaajili ya taasisi au mikusanyiko ya watu. Kwa matumizi ya kawaida ya nyumbani unaweza kusaga unga wako nyumbani.
  7. Niajekukufarm

    Mafunzo ya kutengeneza mashine za utotoleshaji(incubator)

    Niaje kuku farm inakukaribisha wewe mfugaji mdogo na wa kati mwenye ndoto za kukuwa kwa speed nzur na kupata faida kwenye ufugaji wako katika mafunzo ya utengenezaji wa mashine za utotoleshaji(incubators)yatakayo anza tarehe 07/02/2021. Mwisho wa mafunzo haya utaweza kujitengenezea mashine za...
  8. Gshtargets

    Ni mashine gani nzuri ya kuanza nayo 'Car wash' na bei yake kwa sisi wa kipato kidogo?

    Asalaam alaikum. Wakuu kuanzisha tenda ya "car wash". Nakuombeni ushauri ni mashine gani nzuri ya kuanza nayo na bei yake kwa sisi wa kipato kidogo?
  9. Dr. Zaganza

    Jifunze Utengenezaji Sabuni Ya Mche Bila Kutumia Mashine

    Wajasiriamali House tumekuwa kwa zaidi ya miaka 10. tukiwasaidia Watanzania walio na mitaji isiyozidi laki 5 ,mbinu za kuanzisha au kuboresha bidhaa zao sambamba na mbinu za mauzo ya bidhaa zao. Kwa leo tutaangalia jinsi ya kuwa na kiwanda kidogo nyumbani cha utengenezaji sabuni bila kuhitaji...
  10. Erythrocyte

    Waziri wa fedha ingilia kati sakata la uboreshaji wa mashine za EFD, kamishna wa TRA ataleta balaa kubwa

    Muda uliotolewa wa kuboresha Mashine za EFD wa mwezi mmoja (kuanzia desemba 7 hadi Januari 7) hautoshi, kwa sababu mawakala wanaofanya kazi hiyo wamezidiwa na kazi hiyo kutokana na wingi wa mashine hizo na tayari wameomba kuongezewa muda wa kufanya marekebisho hayo ya ghafla yaliyosababishwa na...
  11. Analogia Malenga

    Wafanyabiashara wasioboresha Mashine za EFD kuchukuliwa hatua

    Kamishna mkuu wa Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Dkt Edwin Mhede amesema kuwa mamlaka hiyo haiongezi muda wa wafanyabiasha kuboresha mashine za EFD badala yake itachukua hatua za kisheria kwa ambao bado hawajaboresha. Dkt. Mhede aliyasema hayo wakati akifungua mkutano mkuu wa nusu mwaka wa...
  12. Ginner

    INAUZWA Incubator Mashine ya mayai 5280 inauzwa

    Uwezo: 5280 kwa wakati mmoja. Muda wa matumizi: mwaka mmoja. Condition: mint Bei: 3.7m Location: Dar es Salaam. Sababu za kuuza: Mimiliki amehamishwa kikazi Mawasiliano: 0755815174
  13. N

    Natafuta mashine ya kupasua mbao

    Wakuu, naomba kuelekezwa pahala ambapo naweza kununua mashine ya kupasua mbao. Hii iwe ni ya kuhamisha na kwa vyovyote vile isiwe inatumia umeme. Isiwe chainsaw maana inaharibu mbao.
  14. G Sam

    Ushuhuda: Mama mtoto wangu anaendelea vizuri baada ya kuwekewa mashine ya kuzalisha mvuke kwenye mfumo wa hewa ndani ya hospitali moja mjini Dar

    Nilijiuliza inakuwaje ana mafua makali namna hiyo na kikohozi wakati huu wa joto kali! Tukio lilianza siku ya ijumaa iliyopita. Nikadhani masihara. Jumamosi jioni naona mambo yanazidi kuwa magumu. Huku nawaza sana inakuwaje hali ile wakati huu wa joto kali? akaenda akachoma sindano ya kufanya...
  15. Mwita Mtu Mrefu

    INAUZWA Mashine ya juisi ya miwa, Nzuri sana kwa bei nafuu sana

    Habari Jf. Nauza mashine ya kukamulia juice za miwa. Mashine inatumia engine ya petrol. Mashine iko vizuri na mwamvuli wake kwa ajili ya kukukinga na Jua. Bei ya kuuza ni 1.1 milion, dukani ina 1.3milion. Mashine iko Ubungo River side. Atakayenunua namtolea elfu 30 ya usafiri. Piga simu au...
  16. K

    INAUZWA Mashine ya Popcorn inauzwa

    Mashine ya popcorn inauzwa imetumika miexi mi3 tuu bei 250k (fixed) 0652989359. imetumika miezi mi3 tuu bei 250k (fixed) 0652989359
  17. wirewizard

    Fundi umeme wa nyumba na mashine za umeme (electrical techinician) naomba kazi

    Habari ndg zangu wana JF, NAMSHUKURU MUNGU kwa kunipa wazo hili la kuleta ombi la kazi hapa jukwaani,,,mimi ni fundi wa umeme mwenye uzoefu mkubwa. Nimejiajiri mimi mwenyewe, kutokana na hali ilivyo kwa kwa sasa, kwa kifupi sina kazi! Au by the way kazi ni...
  18. MAMESHO

    INAUZWA Mashine ya kutengeneza toothpick na vijiti vya kuchomea nyama zinauzwa

    Habari za leo. Mashine seti nzima ya kutengeneza vijiti vya meno (toothpick) na vya kuchomea nyama(skewers) inapatikana. Zimetumika kwa miezi michache. Zipo Bagamoyo karibu na shule ya Baobab. Ukinunua ukafunga wafanyakazi wako watapewa mafunzo kwa wiki moja. namna ya kuzitumia. Bei ni mil...
  19. B

    Upatikanaji wa mashine za FOSS

    Hello ndugu wadau. Naomba kufahamishwa duka gani hapa Dar, naweza pata mashine za kampuni ya foss za kupima grains nutrients.
  20. B

    Fundi Mbobezi wa Mashine viwandani Anahitajika

    Habari za Jioni ndugu wadau. Nahitaji fundi mtaalamu wa mashine kubwa kubwa za viwandani. Naomba msaada wa kuonganishwa kama kuna mdau yoyote anayemfahamu. Ahsante
Back
Top Bottom