Kinachoendelea Maandamano Nchini Kenya, Machi 20, 2023
Raia wanalazimisha vyombo kutumia Nguvu za ziada
Kikiwashwa hapo ni mayowe tu
 
Kiukweli kwa siasa za Upinzani Tanzania bado sana na labda ndio sababu Rais Samia alisema haoni Dhamira kwenye nyuso zao

Leo nilikuwa namwangalia Raila naina dhahiri dhamira ya kile.anachokipigania hata kama atafeli

ACT Wazalendo jifunzeni siasa Kenya

Mlale unono!
Unatamani lakini huwezi kuingia barabarani. Magufuri alipokuwa anawatwanga risasi wapinzani ninyi mlijificha ndani
 
Kiukweli kwa siasa za Upinzani Tanzania bado sana na labda ndio sababu Rais Samia alisema haoni Dhamira kwenye nyuso zao

Leo nilikuwa namwangalia Raila naina dhahiri dhamira ya kile.anachokipigania hata kama atafeli

ACT Wazalendo jifunzeni siasa Kenya

Mlale unono!
Moto is underway to you! It is a matter of time!
 
Kiukweli kwa siasa za Upinzani Tanzania bado sana na labda ndio sababu Rais Samia alisema haoni Dhamira kwenye nyuso zao

Leo nilikuwa namwangalia Raila naina dhahiri dhamira ya kile.anachokipigania hata kama atafeli

ACT Wazalendo jifunzeni siasa Kenya

Mlale unono!
Kinana yuko jikoni ujue
 
Lkn tuende mbele na kurudi nyuma. Ni kwamba kenya democracy yao iko juu sana ya Tz labda nyakati hizi za Raisi Samia. Lkn ingekuwa Tanzania ya awamu ya tano kwa maandamano hayo ya kenya yawe kwa Magufuri, watu wengi wangepoteza maisha leo. Maana yule mtu alikuwa Mungu mtu.
 
Lkn tuende mbele na kurudi nyuma. Ni kwamba kenya democracy yao iko juu sana ya Tz labda nyakati hizi za Raisi Samia. Lkn ingekuwa Tanzania ya awamu ya tano kwa maandamano hayo ya kenya yawe kwa Magufuri, watu wengi wangepoteza maisha leo. Maana yule mtu alikuwa Mungu mtu.
Hata uwiano wa kura ni tofauti Ruto 504 % na Raila.49%

Magufuli 84% na Lisu 13%
 
Back
Top Bottom