Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,637
- 8,947
Kama pesa wanazo wanalalamika kitu gani kuwa maisha ni magumu si wadai tu Huo uraisi?Asali gani ya kumlambisha Odinga?
Odinga hana njaa. Odinga na wajaluo wenzake wanataka urais, pesa wanazo tena nyingi sana.