Kenya 2022 Tulieni, tupo kwenye zoezi la kuhakiki kura na mpaka sasa hakuna aliyekidhi idadi ya kutunukiwa Urais

Kenya 2022 Tulieni, tupo kwenye zoezi la kuhakiki kura na mpaka sasa hakuna aliyekidhi idadi ya kutunukiwa Urais

Kenya 2022 General Election
Waangalizi wa kimataifa ya wapi? JK mwenyewe ameshiriki CRDB Marathon DSM leo.

Wadanganyeni hao wanao washobokea kimihemko tu ila wengine tunafuatilia kwa karibu sana kinachotokea BOMAS na mtaani.

Na mkizubaa shida iko palepale!
 
🤣🤣🤣🤣🤣mkuu narudi huko sema nitakaa mbali na muji...Ebeltoft karibu
Mkuu sasa hivi Niko Bergen Kuna road trip tutaenda had Trondheim Hammerfest Hadi Tromso. September nitarudi michenzani.
 
Odinga lazima ashinde ikibidi ni kwa goli la mkono!! mtu mmoja alisikika akiota kwa sauti kubwa baada ya kujikuta amesinzia katika kundi la watu wanaodai wanalinda kura!
 
Naona MaCCM humu yamechachamaa kufungua nyuzi ili kutafuta mbinu za kupaka tope uchaguzi uliofanyika Kenya, yanajaribu kutumia hizo mbinu kuficha aibu ya dhuluma zao kwao huko Tanzania.

Ifahamike kawaida baada ya kukamilisha zoezi la kuhesabu kura, huwa hatukimbilii kumtangaza mshindi na kumuapisha kama kwenu huko, huwa lazima kura zihakikiwe kwa mbinu zinazokubalika na wagombea wote, tena mbele ya waangalizi wa kimataifa na vyombo vya habari, ili kuhakikisha anayeshindwa hata akienda mahakamani hatakua na sababu zozote au hoja zozote zenye mashiko.

Kingine, katiba inahitaji mshindi lazima awe aliyekubalika na Wakenya, maana kwamba lazima ashinde kwa asilimia 50%+1 na mpaka sasa hakuna aliyekidhi hicho kigezo, hivyo kuna uwezekano tukarudia zoezi la ushindani baina ya wagombea namba moja na mbili, wengine watoswe.

Hii yote ni kwa ajili ya kuhakikisha tunampata kiongozi anayekubaliwa na wananchi, sio kulazimishiwa mtu. Kwa hivyo tulizeni nyuzi zenu hizo kila mara ooh "Kenya kimenuka", "Kenya kitawaka", "Kenya kitaiva", "Kenya watakatana mapanga".....mumekaa kama mafisi yenye njaa mnasubiri mkono udondoke hamuna hata aibu....ha ha ha!!!
Wewe jamaa acha uzushi, mwai kibaki alijitangaza mshindi na kujiapisha ikulu fasta unadhani tumesahau?
 
Mkuu sasa hivi Niko Bergen Kuna road trip tutaenda had Trondheim Hammerfest Hadi Tromso. September nitarudi michenzani.
Sawa mkuu...ili kauli ya mipakani kuelekea Sweeden...kiswahili inatamkika ghughumeflee bila shaka huwa unaisikia sio?🤣
 
Back
Top Bottom