Tetesi: Tanzanian billionaire duo have taken over Kenya’s most profitable firm which was recently recognised by the United Nations

Shida ni kwamba wengi hapa hawajui % ya Safaricom inayomilikiwa na serikali ya Kenya na ni asilimia ngapi ya shares za Safaricom zilizouzwa kwenye IPO miaka mingi iliyopita.

Teh teh teh tihiii
the article is about individual stakeholders like you and I.
 
Teh teh teh tihiii
the article is about individual stakeholders like you and I.
TOTAL ASSETS=LIABILITY PLUS OWNERS EQUITY.
Equity= shareholders.
Shareholders = control on company affairs
Control= percentage ownership or vested power.
Valuation can be bigger than total assets.
Control cannot be derived from company value. Hawa jamaa zetu wapo vizuri sana kwenye grammar
 

Teh teh teh tihiii
I seconded with you as far as the business analysis and valuation is concerned.

also it's true that the business value as per valuation can be higher than the total asset. coz the value of shares is affected by different parameters such as public announcements. I'm talking about listed companies.
 
Hii comment ilitakiwa iwe ya kwanza ili wakenya wote waone na kuelewa, I doubt kama wataelewa though.
Mwazilishi wa thread anapush agenda y takeover n meanwhile the 2 have bought ordinary shares and not a stake in safcom which can run into billions of dollars
 
Teh teh teh tihiii
the article is about individual stakeholders like you and I.
Exactly, you can't take over Safaricom unless the biggest single shareholders, the government 35%,Vodafone, 40%, float another IPO to relinquish their shares. Freehold shares ni 25% tu, alafu hawa mnaosema wame'take over' wana 0.30% tu, tumeelewana? Hizo zote zingine kwa hiyo 25% bado zipo kwa wakenya binafsi, waongeze bidii.
 
Hii comment ilitakiwa iwe ya kwanza ili wakenya wote waone na kuelewa, I doubt kama wataelewa though.

nilichogundua ni kuwa napoteza muda mwingi kujadiliana na waKenya ambao wengi wao ni laymen. they are not professionals. kuna jamaa wachache SANA wasomi ndiyo napenda ku exchange nao. lkn the rest is arguing and arguing.
 
Exactly, you can't take over Safaricom unless the biggest single shareholders, the government 35%,Vodafone, 40%, float another IPO to relinquish their shares. Freehold shares ni 25% tu, alafu hawa mnaosema wame'take over' wana 0.30% tu, tumeelewana?
Equity ni kiasi gani?
 
soma tena ndiyo uelewe article.

Teh teh teh tihiii
hawezi kukujibu hilo, uwezo wake umeishia kubishana tu.
Kuna kipindi walileta chaka la mapato ya kpa . Nikabaki nawashangaa tu.
 
kwani tatizo kubwa ni nini?!? mi naona no hatua nzuri kwao hata kama ingekuwa ni 0.1% ni hatua kubwa kwao ukiangalia thamani ya SAFARICOM, mpaka wameandikwa hivyo maana yake wamefanya jambo kubwa. Tusipende kubeza tu, mengine sio saizi yetu!!
 
soma tena ndiyo uelewe article.

Teh teh teh tihiii
hawezi kukujibu hilo, uwezo wake umeishia kubishana tu.
Hahaa, nimekuletea facts za shares za Safaricom, sina cha ziada. Alafu sio kila mtu huwa anakesha humu. Eti dakika kumi tu zikipita kabla sijajibu swali la huyo mwenzako mnaanza kupeana high five.
 
kwani tatizo kubwa ni nini?!? mi naona no hatua nzuri kwao hata kama ingekuwa ni 0.1% ni hatua kubwa kwao ukiangalia thamani ya SAFARICOM, mpaka wameandikwa hivyo maana yake wamefanya jambo kubwa. Tusipende kubeza tu, mengine sio saizi yetu!!
23% sio 0.1%.
 
Mazingira ya biashara siyo rafiki Tanzania.Wafanyabishara wanawekeza Kenya. Na bado.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…