Nyerere na Tanzania vinaenziwa Marekani kwa namna ya kipekee

Nyerere na Tanzania vinaenziwa Marekani kwa namna ya kipekee

Usiwe unaongea Mambo muhimu ya nchi yako ambayo ni Negative bila kufanya research..



Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app

Unazungumzia kiwanda kilicholetwa na muwekezaji kutoka nchi za weupe.

Kingekuwa kiwanda ni cha mtanzania au cha serikali na mashine znazotumika humo zimetengenezwa hapa hapa tanzania ningekuelewa

Hapo tanzania katoa ardhi tu,vingine vyote mpaka wataalam vimetoka nje
 
Unazungumzia kiwanda kilicholetwa na muwekezaji kutoka nchi za weupe.

Kingekuwa kiwanda ni cha mtanzania au cha serikali na mashine znazotumika humo zimetengenezwa hapa hapa tanzania ningekuelewa

Hapo tanzania katoa ardhi tu,vingine vyote mpaka wataalam vimetoka nje
Hakuna nchi yoyote yenye kutengeneza kila kitu pekee, lazima baadhi ya mashine wataagiza toka nje ya nchi, hiyo ndio maana na faida ya "Specialization"
 
Unazungumzia kiwanda kilicholetwa na muwekezaji kutoka nchi za weupe.

Kingekuwa kiwanda ni cha mtanzania au cha serikali na mashine znazotumika humo zimetengenezwa hapa hapa tanzania ningekuelewa

Hapo tanzania katoa ardhi tu,vingine vyote mpaka wataalam vimetoka nje
Alafu wewe ni m#t#ko Kweli.. kampuni ya Apple tu ilikuwa inatumia Microchip za Samsung ambao kwenye soko ndio washindani wao.

Huo ujinga unaongea ni wakilofa kupita maelezo.. maana hata elimu ya shuleni ni mchanyiko kutoka nchi mbalimbali duniani bila kuchagua rangi ya ngozi ya mtu Kama Aljebra ni India, Geometric ni Misri n.k

Yani huwezi kujitenga na dunia ufanye cha kwako tuu.. kitu pekee unaweza fanya nikuongeza Ubunifu tuu yani tukisema kila MTU afuche elimu yake Hii dunia isinge fika hapa Leo..

Kwenye uwekezaji kuna kitu FDI(Foreign Direct Investment) kama vile unavyoona kampuni ya Coca-Cola IPO dunia nzima, lakini hapa pia ina viwanda Kwa Juli ya soko la hapa n.k

Hii ndo ilimfanya China akapanda maradufu kwenye Teknolojia baada ya Marekani kuamua kujenga viwanda vingi China Kuepuka uchavuzi wa mazingira wa nchi yake na pia kutafuta Cheap labour.

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
 
Alafu wewe ni m#t#ko Kweli.. kampuni ya Apple tu ilikuwa inatumia Microchip za Samsung ambao kwenye soko ndio washindani wao.

Huo ujinga unaongea ni wakilofa kupita maelezo.. maana hata elimu ya shuleni ni mchanyiko kutoka nchi mbalimbali duniani bila kuchagua rangi ya ngozi ya mtu Kama Aljebra ni India, Geometric ni Misri n.k

Yani huwezi kujitenga na dunia ufanye cha kwako tuu.. kitu pekee unaweza fanya nikuongeza Ubunifu tuu yani tukisema kila MTU afuche elimu yake Hii dunia isinge fika hapa Leo..

Kwenye uwekezaji kuna kitu FDI(Foreign Direct Investment) kama vile unavyoona kampuni ya Coca-Cola IPO dunia nzima, lakini hapa pia ina viwanda Kwa Juli ya soko la hapa n.k

Hii ndo ilimfanya China akapanda maradufu kwenye Teknolojia baada ya Marekani kuamua kujenga viwanda vingi China Kuepuka uchavuzi wa mazingira wa nchi yake na pia kutafuta Cheap labour.

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Sasa kama huwez kutengeneza mashine hata ya kukatia kucha basi kwako kiingereza ni cha muhimu ujifunze ili uweze kujua namna ya kuzitumia mashine znazotoka nje,hii lugha yenu mnayoivimbia kichwa haina maana mtaendelea kufa masikin
 
Sasa kama huwez kutengeneza mashine hata ya kukatia kucha basi kwako kiingereza ni cha muhimu ujifunze ili uweze kujua namna ya kuzitumia mashine znazotoka nje,hii lugha yenu mnayoivimbia kichwa haina maana mtaendelea kufa masikin
we jamaa unaonekana hujaenda shule ht civics hujasoma.
ktk maendeleo ya kiuchumi na kiteknolojia lugha haihusiki.
kuna nchi kibao kiingereza hawajui ila zimeendelea kiuchumi mfano Singapore,Macau, n.k n.k
kuna nchi km Kenya,Barbados,Madagascar ni nchi zinazojua kiingereza kabisa ila ni nchi maskini mpk zinapewa msaada.
 
Wachina wanateknoloji ndo iliyowainua wanatengeneza vitu kbao nchin mwao,sisi hata kutengeneza chupi hatuwez
Hizo teknolojia wamezipata kwa kuinnovate na wala wachina hawatumii kiingereza.
We unadhani China kufika ilipofika imefika kiutani?
Waliwekeza ktk talanta na vipawa na vipaji.
Hata Tanzania tukaamua kuwekeza huwenda kuna namna flan tukainuka maana Tanzania vipawa na talanta zipo ila serikali haijawekeza ktk kuviinua.
Yani una ujinga mkubwa sana mpk unasikitisha kusema kiingereza kinachangia maendeleo.
We jua kiingereza halafu usiwe na talanta mwenzio asijue kiingereza halafu awe na kipawa nani atapewa kipaumbele?
Jijibu mwenyewe.
 
Back
Top Bottom