chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 13,277
- 40,924
- Thread starter
- #41
Umemjibu vizuri sana Mkuu ila tatizo la huyu mtu hayupo kimjadala, yupo kushindana, ni tabia ya Wakenya wengi nilioengage nao kwenye mijadala tofautiWewe una matatizo ya akili sio bure, kwahiyo watu wanaotoa mawazo tofauti/against ya serikali hao ndio wapo sahihi na unawatumia Kama rejea yako?, Wakenya ambao wanaotoa mawazo yao kupinga serikali ya Kenya ni zaidi ya 80% ya wakenya wote, huko mnasema ni "freedom of Expression", wewe umeona wapi watu wote wakapendezwa na serikali iliyopo madarakani.
Kwa mantiki yake kwamba minority waliopo kinyume na ujamaa ndio wapo sahihi kwa chochote wasemacho basi apate taarifa hata Marekani kwenye chimbuko la imperialism pia wapo minority ambao wapo sahihi zaidi.