johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nadhani alitaka kumaanisha RailaKwani Rais huwa sio raia?[emoji848]
Kwamba Rais anatokana na malaika ama vipi mkuu?
Wakenya wanataka mfumko wa bei na gharama ya maisha vishuke. Hilo hasa ndilo wanalopigania kwasasa.
Nani wa kuleta huo moto?Moto is underway to you! It is a matter of time!
Paka wa sokoni huwa wanaishi wapi kwani?Barabarani nikafanye nini?!!
Bongo hakuna wapinzani
Wapo kimya - wakilipiwa madeni na wengine wamekimbia
Hawaongei mahitaji ya wananchi , wanaongea mahitaji yao
Sukuma gang.Nani wa kuleta huo moto?
Kina Lema?
Kiukweli kwa siasa za Upinzani Tanzania bado sana na labda ndio sababu Rais Samia alisema haoni Dhamira kwenye nyuso zao
Leo nilikuwa namwangalia Raila naina dhahiri dhamira ya kile.anachokipigania hata kama atafeli
ACT Wazalendo jifunzeni siasa Kenya
Mlale unono!
Ufipa stPaka wa sokoni huwa wanaishi wapi kwani?
Kwani sare ndiyo zinazofanya kazi?Police wa Tz wana sare za ovyo sana bradhee.
Tanzania Police
Kenya Police
Mtaendelea kuisubiri hiyo siku hadi KaburiniIPO SIKU CCM Hawataamini
Kenya Wana Katiba Mpya!Polisi Kenya wanatumia Risasi za moto kutawanya watu? Raisi wao yuko juu ya katiba kama Tanzania?
NdioMimi sipingani na kuwepo kwa katiba mpya lkn wote tumejionea, swali langu ni kwamba kwa hiyo katiba mpya tunayoitaka ndo inawapa uhuru wakenya ya kuichafua hali ya hewa hivi?
Mimi sipingani na kuwepo kwa katiba mpya lkn wote tumejionea, swali langu ni kwamba kwa hiyo katiba mpya tunayoitaka ndo inawapa uhuru wakenya ya kuichafua hali ya hewa hivi?
Ndio maana ya kiongozi kutojifanyia anayotaka yeye, leo uwanja wa ndege wa chato upo tu, ujengwe mwingine kizimkazi si unaona hasara hiyo lazima kiongozi ajue wananchi wapo ndio wenye nchi
Bora sukuma gang wanaweza kuitikisha ccm kidogo kutoka na nguvu ya Magu huku mtaani ila siyo hawa waramba asaliSukuma gang.
Picha au Video ya kutoa support ya maelezo yako ipo wapi?Mimi sipingani na kuwepo kwa katiba mpya lkn wote tumejionea, swali langu ni kwamba kwa hiyo katiba mpya tunayoitaka ndo inawapa uhuru wakenya ya kuichafua hali ya hewa hivi?