wagner

  1. MK254

    Kiongozi wa Wagner akiri kupoteza wapiganaji 22,000 Bakhmut pekee yake

    Hata kwenye vita vya Afghanista, Urusi haikupoteza wanajeshi ewengi kiasi hiki.... The head of the Russian private army Wagner says his force lost more than 20,000 fighters in the drawn-out battle for Bakhmut, with about 20% of the 50,000 Russian convicts he recruited to fight in the 15-month...
  2. 5

    Sababu ya Kiongozi wa Wagner Group kuudanganya ulimwengu jana kuteka Bakhmut yatajwa

    "Kuna sababu kadhaa, kwanza wanahitaji angalau ushindi wa mbali, kwa sababu tayari wameifedhehesha dunia nzima wakati hawana uwezo wa kuchukua kituo cha mkoa kwa zaidi ya miezi 9 Cherevaty, in an interview with Ukraine's Radio NV, said there are two significant reasons why Prigozhin appears to...
  3. MK254

    Bakhmut bado kizaazaa, Wagner wanatafuta sababu za kuondoka

    Kuna siku walisimika bendera usiku wakasema wameiteka Bakhmut yote, siku chache kiongozi wao akaanza kulia lia silaha, akaahidiwa silaha, juzi ghafla akasema wanajeshi wa Urusi wanakimbia mapambano na kwamba hii itasababisha Wagner kuzingirwa, huyu leo ameibuka na kusema Bakhmut yote wameichukua...
  4. MK254

    Kiongozi wa Wagner alia lia kuhusu namna Ukraine wanaendela kukomboa maeneo Bakhmut

    Alaumu wanajeshi wa Urusi kuendelea kuachia maeneo na kushangaa namna wazalendo wa Ukraine wanakomboa maeneo. Yaani Ukraine wana mzuka wa kichizi, vijana wanaingia kwenye historia kama ambao walijitokeza kuikomboa nchi yao, sikutegemea kitu kama hiki kwa vizazi vya leo, vijana wa leo huwa...
  5. HIMARS

    Wagner walitaka lihujumu jeshi la Urusi

    Habari zilizovuja na kuthibitishwa na Ukraine ni kuwa. Boss wa Wagner Yevgeny Prigozhin alikuwa na mawasiliano ya siri kati yake na GRU (Military Directorate of Intelligence) kuhusu kuwapa maeneo walipo wanajeshi na viongozi wa kijeshi wa Urusi kwa sharti la Wagner kuachiwa Bakhmut. Siri hiyo...
Back
Top Bottom