"Rais alikosea sana juu ya usaliti wa nchi, sisi ni wazalendo wa nchi yetu. Tulipigana na tunaendelea kupigana. Wapiganaji wote wa Wagner PMC. Hakuna wa kujisalimisha kwa ombi la Rais, tulipokuwa tunapigana Afrika tuliambiwa tunaihitaji Afrika na baada ya hapo ikaachwa kwa sababu waliiba pesa...
Wapiganaji wa Wagner waelekea Moscow kuuondoa utawala wa kijeshi unaoongozwa na SERGEI SHOIGRU. Kiongozi wa Wagner anadai kwamba majeshi ya urusi yamekuwa yakishambulia kambi zao nchini UKRAINE.
Huu Uzi nitatoa update ya kila kinachoendelea.
=====
Update: Maafisa wa Ukraine wasema watatumia...
damu
hali
jeshi
jeshi la urusi
kijeshi
kiongozi
kuelekea
kuepusha
kundi
kusini
makao
makao makuu
moscow
nyerere
raha
russia
safari
ukanda
ukraine
urusi
viongozi
wagner
yericko nyerere
Katika muendelezo wa kinachoonekana ni uasi kwa serikali ya Urusi Wagner group wanaripotiwa kutekea na kutwaa makao makuu ya jeshi katika mji wa Rostov. Misururu ya wapiganaji wa Wagner katika maeneo mbalimbali inazidi kuoenkea ndani ya Urusi, kwa sasa wapo Voronezh na kuna taarifa wanataka...
Ndio habari zinazojiri huko Urusi. Kiongozi wa Wagner Group kikundi cha wapiganaji binafsi kilichokuwa kinaisaidia Urusi kwenye vita Ukraine amefarakana na waziri wa ulinzi wa Urusi.
Kumekuwa na hali ya hatari kote Urusi na watu kuamriwa kubaki majumbani.
Kiongozi wa Wagner Group anashutumiwa...
Huyu mzee alisifiwa sana humu na pro-Russians, haya amekua mwiba sasa na naona anatumika kuishusha supapawa zaidi, Urusi imeomba mamluki wake wamzunguke na kumkamata, ila yeye amesema atafanya kishindo humo humo Urusi kama njia ya kulipiza kisasi mauaji yaliyofanywa kwa wapiganaji...
Ikumbukwe hawa walikua mahabusu kule magerezani, ila Urusi kwa kuishiwa mbinu ikawapa uhuru baada ya wao kuwahusisha kwenye vita, sasa wamerudi mitaani na kuanza kupiga matukio, kunao wanabaka watoto wadogo wa hata umri wa miaka 10, Urusi inapitisha sheria ya kuwahasi....
One brutal alleged...
Taarifa zinaonyesha Warusi wanauawa takriban mia tisa kwa siku...
==========
Wagner chief admits Russia losing badly against Ukraine’s counter-offensive
Wagner Group financier and internally recognised war criminal Yevgeny Prigozhin issued yet another rebuke of the Armed Forces of Russia...
Ukraine wameki washa washa hadi Wagner wanaomba waongezwe hadi wafikie 200,000 maana jeshi la Urusi linapata kipigo sana.
The mercenary Wagner Group chief Yevgeny Prigozhin has called on Moscow to provide him with 200,000 troops in order to halt the long-promised Ukrainian counteroffensive, as...
Vita vyaanza baina ya wanajeshi wa Urusi na wapiganaji wa Wagner, mbwa kala mbwa, yajayo yanafurahisha...
The head of the Wagner Group, Yevgeny Prigozhin, has indicated the Russian army has killed some of his mercenaries.
In what the British Ministry of Defence (MoD) called a feud of "an...
Huyu mzee hehehe eti ndiye tegemezi la Warusi na anavyofyatuka.... asema hizo ni ndoto za mchana
Russia's claims that its military had inflicted massive casualties on advancing Ukrainian troops are "wild fantasies", the boss of Russian mercenary group Wagner said Tuesday.
Moscow's defence...
Sijaelewa nini huyu mzee anachokitafuta, amesema wakuu wa majeshi ya Urusi waliokiuka haki za kibinadamu wakamatwe wote.
Alitoroka mapambano, kila siku anatoa matamko.
===
Russia's most powerful mercenary, Yevgeny Prigozhin, said on Wednesday that he had asked prosecutors to investigate...
Haya yamesemwa na kiongozi wa Wagner, ambaye kila siku anatoa matamko baada ya kukimbia mapambano ya Bakhmut
June 2 (Reuters) - Russian mercenary boss Yevgeny Prigozhin, who has been arguing with top military brass for months, on Friday escalated the feud by accusing pro-Moscow forces of trying...
Ikumbukwe Warusi walikufa zaidi ya 60,000 huku wengi wakiwa wapiganaji wa Wagner kipindi walikua wanajaribu kuteka mji wa Bakhmut, kiongozi huyu alijitangazia ushindi na kuondoka na kuacha wanajeshi wa Urusi wakijipambania, sasa amehamaki sana baada ya taarifa kumfikia kwamba maeneo mengi...
Mzee wa Wagner anaendelea na matusi...
The Wagner Group is willing to fight on in Ukraine if they get a separate section of the front without having to depend on the "clowns" who run the Kremlin's armed forces, Russia's most powerful mercenary boss has said.
Celebrating his 62nd birthday today...
Atukana wakuu wa majeshi Urusi na kushangaa kama taifa walifikaje huku ambapo drones zinapiga Moscow ndani, haingii akilini.....
Russian mercenary force boss Yevgeny Prigozhin issued expletive-laden statement criticising failure to protect Moscow.
The head of Russia’s Wagner mercenary force...
Wanajeshi 20,000 wa kundi la mamluki la Wagner la Russia waliuawa katika vita vya miezi kadhaa vya kuudhibiti mji wa Bakhmut mashariki mwa Ukraine, mwanzilishi wake amesema.
Yevgeny Prigozhin alisema amewaandikisha wafungwa wapatao 50,000 kupigana na Wagner katika vita vya Russia nchini Ukraine...
Vita vimechacha Bakhmut, wanajeshi wa Ukraine wanaendelea kupeleka moto huku Wagner wakiharakisha kutoka baada ya kujitangazia ushindi.......wanajeshi wa Urusi watachinjwa sana maana waliokolewa na "mizoga" ya Wagner ambao walikua wanakufa kama chambo.
==========================
On 25 May, on...
Kiongozi wa Wagner amesema zoezi la kumkabidhi Biden mabaki ya miili ya wanajeshi wa Marekani waliouawa wakiipigania Bakhmut isikombolewe limeanza. Katika mchakato huo, ameanza na mabaki ya mwili wa Nikolas Maimer, mwanajeshi wa Marekani wa Special forces aliyeuliwa na Wagner huko Bakhmut...
Wagner forces have begun withdrawing from Bakhmut and will hand over positions to the Russian army, says the mercenary group’s chief Yevgeny Prigozhin, having claimed to have captured Ukraine’s eastern city.
Russia’s security service announces the arrest of two Ukrainians suspected of planning...
Asema jeshi la Ukraine linapigana kitaalam sana na wamejipanga tofauti na aibu ambayo jeshi la Urusi limedhihirisha, na kwamba hali ikiendelea hivi Urusi kutalipuka mapinduzi
======================
02:18 - Source: CNN
CNN —
A new “revolution” could rock Russia if its stuttering war effort in...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.