russia

  1. M

    Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

    Wapiganaji wa Wagner waelekea Moscow kuuondoa utawala wa kijeshi unaoongozwa na SERGEI SHOIGRU. Kiongozi wa Wagner anadai kwamba majeshi ya urusi yamekuwa yakishambulia kambi zao nchini UKRAINE. Huu Uzi nitatoa update ya kila kinachoendelea. ===== Update: Maafisa wa Ukraine wasema watatumia...
  2. L

    Ziara ya ujumbe wa viongozi wa Afrika nchini Ukraine na Urusi yaonesha kuwa na Mafanikio

    Ujumbe wa nchi za Afrika ulioongozwa na Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ulifanya ziara nchini Ukraine na Russia, na kukutana na viongozi wa pande hizo mbili ukitafuta njia za kutatua mgogoro huo ambao umekuwa na madhara kwa nchi mbalimbali za Afrika. Ujumbe huo ni moja ya juhudi za jumuiya...
  3. Tlaatlaah

    Mawaziri wa Ulinzi NATO kutofautiana njia za kijeshi dhidi Ya Russia, ni Dalili ya Ushindi Kwa Russia?

    Ladies and Gentlemens, Mawaziri wa Ulinzi Jumuiya ya kujihami NATO Jana wameshindwa kuafikiana na kua na msimamo wa pamoja juu ya hatua muafaka za kijeshi zinazokusidiwa kuchukuliwa dhidi Rassia yenye nguvu Zaidi. Je, kuna wanachama ndani ya Jumuiya ya NATO ni waoga au ni Marafiki wa Russia...
  4. I

    Benki Kuu ya Urusi yakiri hali ya uchumi wa nchi hiyo kuwa mbaya

    Benki Kuu ya Russia imekiri hali ya uchumi wa nchi hiyo kuwa mbaya. === Russia's central bank sounded alarms on the economy Friday as the falling ruble and a record labor shortage add inflationary pressures. Policymakers kept the benchmark interest rate steady at 7.5%, where it has been since...
  5. F

    Uamuzi wa Russia kuivamia Ukraine ni mbinu iliyoshindwa (Strategic Failure)?

    Je, Uamuzi wa Russia kuivamia Ukraine ni mbinu au mkakati ulioshindwa (Strategic Failures)? hili ni swali linahitaji majibu. Sababu mojawapo iliyotolewa na Russia kwa kuhalalisha uvamizi wake nchini Ukraine ilikuwa ni Ukraine kuwa na mpango wa kujiunga EU na baadae NATO. Russia/Putin alitaka...
  6. N

    Propaganda zinashinda vita kwenye uwanja wa medani, case ya vita ya Russia Ukraine

    Vita ni tamu kusimulia kutokana na matendo yake ya kishujaa lakini pia vita ni chungu kuiona kutokana na matukio ya mstari wa mbele yaani kumwaga damu kikatili na kupatwa kwa ugonjwa wa post traumatic stress kwa participants wote wa vita. Leo nataka niwafahamishe vijana wadogo wajue kuwa vita...
  7. I

    Uchumi wa Urusi wadaiwa kuanza kutetereka

    Kufuatia kuwekewa vikwazo vya kiuchumi na nchi za magharibi, uchumi wa taifa la Russia umeanza kutetereka kiasi kwamba nchi hiyo sasa imekumbwa na uhaba wa nguvu kazi baada ya wananchi wapatao milioni moja kuikimbia nchi kuogopa kuandikishwa kwa nguvu kwenda kupigana nchini Ukraine. ---...
  8. Beberu

    Mfahamu Peter the Great, Mtawala mbabe aliyeibadilisha Russia

    Nawasalimu katika jina la Kibepari Peter the Great, ambaye jina lake kamili ni Peter I wa Urusi, alizaliwa tarehe 9 Juni 1672 (sawa na tarehe 30 Mei 1672 katika kalenda ya Juliasi) huko Moscow, Urusi na aliongoza urusi toka mwaka 1682-1721 kama Tsar wa urusi na kisha toka 1721 hadi 1725 kama...
  9. I

    Kiongozi wa kikundi cha mamluki cha Russia (Wagner) akiri wapiganaji wake 20,000 kuuawa Bakhmut, Ukraine

    Wanajeshi 20,000 wa kundi la mamluki la Wagner la Russia waliuawa katika vita vya miezi kadhaa vya kuudhibiti mji wa Bakhmut mashariki mwa Ukraine, mwanzilishi wake amesema. Yevgeny Prigozhin alisema amewaandikisha wafungwa wapatao 50,000 kupigana na Wagner katika vita vya Russia nchini Ukraine...
  10. I

    Urusi yamtishia Seneta wa Marekani kwa kauli yake ya kejeli dhidi ya Urusi

    Russia imemweka Seneta wa Marekani Lindsey Graham kwenye orodha ya mtu anayetafutwa na hii ni kulingana na ripoti za vyombo vya habari vya Russia vikinukuu hifadhi data ya wizara ya mambo ya ndani. Ofisi ya rais wa Ukraine siku ya Ijumaa ilitoa video iliyohaririwa ya mkutano kati ya Seneta...
  11. incinc

    Russia vs Ukraine & wanamgambo pandikizi

    Naiyona hii vita kuwa kubwa taratibu...baada ya jumatatu kutokea uvamizi mpakani mwa Russia na Ukraine katika jimbo la Belgorod sasa kuna vita mbili Russia anaanza kupambana nazo...vita ivyo ni Russia vs jeshi la Ukraine wakisaidiwa na washirika wa NATO na yapili ni Russia vs wanamgambo wanao...
  12. PakiJinja

    G7 na C5 imefanyika Jumamosi pasipo Russia kualikwa

    Kuanzia May 19 - 21, 2023, vilifanyika vikao viwili vikubwa na muhimu. Mikutano hiyo ni ya G7 na C5. Mkutano wa kwanza ulijadili usalama wa Ulaya na US, na wa pili ulijadili usalama wa Asia. Urusi haikuwaalikwa katika mkutano wowote kati ya hiyo. Nawatakieni katikati ya Wiki njema.
  13. L

    Marekani ina lengo gani kwa kukashifu nchi nyingine kutoa silaha kwa Russia?

    Hivi karibuni, balozi wa Marekani nchini Afrika Kusini Reuben Brigety aliiomba radhi serikali ya Afrika Kusini kwa kuishutumu nchi hiyo kuipatia silaha Russia. Kabla ya hapo, Marekani nayo pia ilidai kwamba China inaweza kutoa silaha kwa Russia. Lakini halisi ni kuwa si China wala Afrika Kusini...
  14. anti-Glazer

    Why Russia is not a 7 Group industrial state

    Unafiki. Russia was added to the political forum from 1997, which the following year became known as the G8. In March 2014 Russia was suspended indefinitely following the annexation of Crimea, whereupon the political forum name reverted to G7.
  15. F

    Urusi kuwa na mji wa Bakhmut na Soledar, hasara ni kubwa kuliko faida

    Tangu Urusi aivamie Ukraine Feb 2022 ni miezi 15 sasa, kuna mengi tumeona na kusikia kwa kila upande katika uwanja wa vita. Kuna maeneo matano (5) ambayo Urusi na Ukraine wameyafanya kuwa ni ngome za mapigano. Miji hii ni Bakhmut, Soledar, Avdiivka, Kreminna na Vuhledar. Katika miji hii...
  16. McCollum

    Inabidi itumike akili gani kuwaelezea watanzania kwamba vita ya Ukraine na Russia sio ya kuishabikia?

    Habari kwa wanajamvi! Naomba niende moja kwa moja kwenye mada, kwa watanzania wengi (nitasema wengi licha ya kwamba sijafanya utafiti ila naona kwa ninachokumbana nacho mtaani inawezekana wengi wana mawazo hayo hayo) wanaivalia njuga vita inayoendelea baina ya mataifa mawili ambayo kiasili...
  17. Internet-Money

    Vita kubwa inayoendelea ni ya AI, Ukraine na Russia wanajichoresha

    Achana na hii vita ya magobole inayoendelea (Russia vs Ukraine), huko Marekani kuna wakubwa wawili wanaonyeshana umwamba. Baada ya ChatGPT kutoka toleo la 4, basi akazani tayari amemshinda Bwana Mkubwa Google. Kumbe Google anamchora - kumbe ana maajabu yake kayaficha hanaga papara. Cheki...
  18. Maleven

    Hatimae, Bakhmut iko mikononi mwa Russia (Wegner)

    hayawi hayawi sasa yamekua, Bakhmut belong to Russia, we don't need lgbtq+ sh+t here jeshi la Ukraine halikukumbia mji bali wamechakazwa pale hawakua na pakukimbilia
  19. Lexus SUV

    RT-Russia , ingefaa sana isingefungiwa ili tujue kinachoendea huko Urusi

    Yeah ni kweli vita ni pande mbili , jambo zuri internet inaonyesha vitu vingi vinavyo tokea ukraine na reactions za wa ukraine ,maana nimeona mpaka Walimu, Madaktari, Mainjinia wa Ukraine wamejiunga na jeshi na wana being trained to be solders. Heko heko ni kwamba , ingekuwa ni vyema DUNIA...
  20. SYLLOGIST!

    Ukraine's conflict with Russia weighs on Africans' minds

    Europeans are weighing getting to know Kenyan's whether they are perfect people like them or we have a little crime to be perfect human beings like them. Even monkeys and apes if you give them bananas they always turn out to be your friends through conditioning (influence) without using their...
Back
Top Bottom