MOSCOW, Sept 23 (Reuters) - Russia has ramped up oil shipments to Asia since Europe imposed sweeping sanctions, but still needs to re-route over a quarter of its crude exports away from Europe - or about 1.3 million barrels per day - when a full oil embargo hits in December. Russia exports...
Provoking Russia into a nuclear exchange while Russia has the best anti-ICBM missile systems is like getting into a gun fight with an opponent who is carrying the world’s best ballistic shield
It is like the psychopathic NWO western leaders are begging for annihilation.
Russia’s recent...
Akuna asiyejua Trump na Putin ni maswaiba walioshibana na iliaminika Russia walihusika katika kuhakikisha Trump anaingia white House, na hata uvamizi wa Russia kwa Ukraine Trump alihojiwa akadai mbona Putin yupo sahihi.
US na vyombo vyake vya usalama walichelewa japokua siyo sana kuugundua...
Dah nimeshangaa sana hii habari ,hivi kati ya US na Germany nani kavuka mstari mwekundu .Germany kila siku analalamikiwa na zelesky kwamba amekua akitoa ahadi hewa, juzi kaahid kutoa magari 50 , na vifaa vingine leo anaambiwa kavuka mstari,.he aliyetoa Himas hamumwoni ,hapo Germany hajatoa...
Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi imesema iwapo Marekani itaamua kuipatia Ukraine makombora ya masafa marefu, itakuwa imevuka mpaka na kuwa ‘mshiriki katika mzozo’ baina ya mataifa hayo mawili.
Marekani imeipatia Ukraine roketi za hali ya juu za mfumo wa kurushia roketi nyingi (GMLRS), ambazo...
Hapa kaz tuu kwenye anga Ukraine siyo maboya ,tafuten mmekosea wap
Russians launch 12 missiles on eastern Ukraine, 9 of them shot down by air defence units
Ukrainska Pravda
Sun, September 11, 2022 at 11:00 PM·1 min read
VALENTYNA ROMANENKO — SUNDAY, 11 SEPTEMBER 2022, 21:44
On the evening of...
Sawa, najua utachoanza kusema, ooh ukabila ulikomeshwa, hakuna civil war, mabeberu wangepindua tena nchi hii, etc. Lakini twende na uhalisia wa matokeo, ni nchi gani iliyokuwa mfuasi wa ukomyunisti (kutoka kwa Mchina na Mrusi) leo ina maendeleo yenye kasi kubwa, bali tu kuwa wahanga wa sera zao...
Taarifa ni msingi mkubwa sana katika vita, ukijua audui yuko wapi anafanya nini, anavifaa gani ni rahisi sana kujipanga kujilinda na kupanga kushambulia.
Live satalite image imeonesha mchango mkubwa katoka vita ya Russia-Ukraine.
Nchi za magharibi zinatumia technolojia hiyo kum locate mrusi...
Russian wenyewe hawajasema chochote ila pro Russia wa mitandaon wameshatoa majibu yao
Kremlin refuses to comment on counteroffensive of Armed Forces of Ukraine
Ukrainska Pravda
Fri, September 9, 2022 at 1:33 PM·1 min read
IRYNA BALACHUK – FRIDAY, 9 SEPTEMBER 2022, 13:33
Dmitry Peskov, the...
Super power mandonga aishiwa silaha, sasa akipigana miaka 2 si ataishiwa mpaka bunduki, hahaaaa super power wa mchongo anachekesha.
Russia to buy North Korean artillery shells, rockets: Report
Declassified intelligence from the US says that Moscow is turning to isolated state to secure weapons...
Russia na China wameendelea na mazoezi ya pamoja yanoitwa Vostok 2022 ambayo yajumuisha nchi zingine zipatazo 12.
Mazoezi hayo yaendelea huku bado kukiwa na vita ya Russia na Ukraine pamoja na mgogoro wa China na Marekani kuhusu kisiwa cha Taiwan.
Mazoezi hayo yaloanza Alhamisi ilopita...
Habar ndiyo hiyo super power kakubali yaishe.
Kakosa yote.Chezea Himas wewe.
KATERYNA TYSHCHENKO – SUNDAY, 4 SEPTEMBER 2022, 22:54
Volodymyr Zelenskyy, the President of Ukraine, shared intelligence that Russian occupiers have already started fleeing Crimea and stated that this was the right...
Europe’s impending depression is not to be discounted in terms of its relevance to the other side of the Atlantic. Since the turn of the century, US exports to the European Union have soared from $12.3 billion per month to $30.4 billion. That latter amounts to $365 billion on an annual basis...
Ukiona hivi ujue mkubwa kashikwa kubaya.Sasa hivi anaomba poo ,ila itakua jambo la busara wakiyamaliza mezani kiukweli vita siyo vizuri ,sikia kwa wenzako tuu.
Zelesky tunaomba ushushe asira mambo haya tuweke sawa ,
----
ROMAN PETRENKO – SUNDAY, 4 SEPTEMBER 2022, 15:52
Dmitry Peskov...
Mnaodai vikwazo havina madhara kwa Russian mnajidanganya ,ni vile media za Russia zimefungiwa ila hali ni tete ,hakuna anayetaka kuwekeza Russia ,alafu limeongezwa rungu lingine mataifa zaid ya 22 ya ulaya yamefuta VISA kwa raia wa Russian yaan mtanywea kombe lenu la vikwazo humohumo...
Ukraine wameweza kutengeneza Himas fake nyingi ambazo, Russian kwa kutumia makombora yake mazito yanayorushwa toka kwenye meli na submarine yamekua yakijikuata yanalenga matoi yaliyotengenezwa kwa mbao. Kumbuka kombora moja linagharimu us dollar milion1.2 na utengenezaji wake huchukua mwezi...
Kwa mtu yoyote asiyehusika moja kwa moja na hii vita lazima atakuwa ana upande wake wa kushabikia. Ila jambo moja la wazi na pasi na shaka hii vita imekwamisha ustawi wa Uchumi wa Dunia nzima na kuhatarisha usalama wa kila Binadamu.
Hadi sasa ukiangalia taarifa za Urusi kila siku wanatoa...
Propaganda ni kitu kinachotajwa sana kwenye ulingo wa siasa na vita hasa pale panakuwa na pande mbili zinazochuana kupata ushawishi wa jambo flani.
Hali kadhalika wakati wa vita ''propaganda" huchukua mkondo wake kama njia ya kuongeza au kupunguza hamasa ya mapigano kwenye uwanja wa medani...
Bulgaria's energy minister Rossen Hristov said the country would likely go back to talks with Russia on resuming gas deliveries from state-run energy supplier Gazprom.
Gazprom provided 90% of Bulgaria's natural gas until April, when it cut supplies after Bulgaria refused to pay in rubles...
NATO wametoa tamko kuwa kama ikitokea Russia akalipua kituo cha nyuklia ,basi ajue amevunja kifungu namba 5 cha NATO.
Hivyo NATO itachukulia jambo hilo kama direct provoked ,na linaashiria kuwalenga wanachama wa NATO.
Hivyo italazimu NATO kuingililia direct,hapa sasa ndio patamu maana NATO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.