Wanaukumbi.
The Hebrew Channel 12 reports:
The Zionist prisoner "Emily Damari" who was released by the resistance last week asked to remain in captivity and release another prisoner in her place, but Hamas refused.
=========================
Idhaa ya Kiebrania 12 inaripoti
Mfungwa wa Kizayuni...
Kwa maoni yangu Islael ndo magaidi mana walivamia nchi ya watu na wanaendeleza ugaidi.
Ee Mungu wahurumie na waokoe wapalestina.
Mimi mkatoliki mwaminifu.
Alipokua akiulizwa kuhusu kauli yake alioitoa kuhusu kuhamishwa kwa wapalestina walioko Gaza, aliendelea kisisitiza msimamo huo.
Muda utatuambia kua huyu mzee hamnazo kabisa, kama lengo lake ni kushirikiana na wazayuni awatoe wapalestina gaza, amechelewa sana na haiwezekani.
Haiwezekani mtu...
Wananchi wa Palestina eneo la Gaza wameendelea kupata nafuu ya amani wakati wakirudi kwenye maeneo waliyokuwa wakiishi kote Gaza kufuatia usitishwaji wa vita kati yao na Israel vilivyodumu kwa zaidi ya mwaka mmoja.
Hali hiyo inatokana na kurudi kwa polisi wa Hamas wakiwa wamevalia sare zao...
Wanaukumbi.
Ripota wa Israel anatoa maoni yake kuhusu video hii:
"Nataka tu kuuliza kwa upole: Je, Israel imekuwa ikishambulia kwa mabomu kwa siku 450 huko Gaza? Hamas inaonekana kuwa katika nafasi nzuri kana kwamba haikupigana vita dhidi ya jeshi la Israel." Hii video ya Hamas leo Jumapili...
The primary objectives of Benjamin Natanyahu to declare war on Gaza in Octomber 2023 were among others:
1. To eliminate the group of Hamas completely and also
2. To free the 100+ captives taken up by the Hamas fighters
3. To re- occupy Gaza like the pre- 2005 era
My question is of all the...
Wanaukumbi.
⚡️🇺🇸🇮🇱JUST IN: Journalist Lior Kordner said in a podcast for Haaretz newspaper:
Trump intervened forcefully to end the war, and all the right-wing supporters were living in a dream world about his return. They were saying that as soon as Trump came back, the entire population of...
Wanaukumbi.
⚡️🇮🇱BREAKING: Ceasefire agreement will continue as planned.
Crisis resolved, Israeli Cabinet will meet to approve the ceasefire and exchange deal.
Tomorrow, the negotiating teams are expected to provide a review of the agreement to government ministers.—Hebrew CH12...
Wiki iliyopita, tarehe 7, Januari 2025, akiwa Mar a Lago, Rais Trump alichimba biti.
Alisema kwamba ifikapo tarehe 20 mwezi hao mateka wa Hamas hawajaachiwa, basi huko Mashariki ya Kati patachimbika.
Mapema leo/ jana, imetangazwa kuwa Israel na Hamas wamefikia makubaliano ya kusitisha mapigano...
Muda mfupi ujao tunatarajia Tangazo rasmi la kusitisha mapigano huko Palestina na Israel baada ya majadiliano ya muda mrefu waziri mkuu mkorofi wa Israel amekubali kukubaliana na matakwa ya Hamas na kusitisha vita, pamoja na kubasdilishana mateka.
Salaam wadau. haya ndio makubaliano yanayotegemewa kufikiwa kati ya Israel na Hamas hivi punde
⚠️ AWAMU YA 1 (SIKU 42):
1. Kusimamishwa kwa Muda kwa Uhasama:
- Kusitishwa kwa muda kwa shughuli za kijeshi na pande zote mbili.
- Vikosi vya Israel vitaondoka katika maeneo yenye watu wengi...
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, amezungumza na Rais wa Marekani Joe Biden, kuhusu maendeleo katika mazungumzo ya makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza.
"Waziri Mkuu alijadiliana na rais wa Marekani maendeleo ya mazungumzo ya kuwaachilia mateka wetu na kumsasisha juu ya mamlaka...
All the leaders of the Zionist unit that participated in the assassination of the martyr mujahid commander Yahya al-Sinwar months ago in Rafah were killed, as the unit was killed after falling into a tight ambush in Beit Hanoun in the northern Gaza Strip 🇵🇸🔻
Wanaukumbi,
Wakili aliyewasilisha kesi hiyo kwa niaba ya taasisi hiyo, Maira Pinheiro, alinukuliwa na vyombo vya habari vya Brazil akisema kwa vile Brazili imetia saini Mkataba wa Roma, inawajibika kuhakikisha kuwa uhalifu uliotolewa katika sheria hiyo (uhalifu wa kivita, uhalifu dhidi ya...
Wanaukumbi.
CAIRO, Jan 5 (Reuters) - Palestinian militant group Hamas has approved a list of 34 hostages presented by Israel to be exchanged in a possible ceasefire deal, a group official told Reuters on Sunday.
The official, who spoke on condition of anonymity because of the sensitivity of the...
Hii ni taarifa iliyotolewa na IDF
The Director of Hamas Security Operations in the Gaza Strip, Major General Mahmoud Abu Salah as well as his Assistant and the Director of Investigations, Brigadier General Hussam Shahwan were both Eliminated by an Israeli Airstrike last night near Khan Yunis in...
Nimeangalia Al Jazeera
Aisee Huyu Mwamba Wamwache Tu Amalize Alichopanga
Kifupi Hana Hata Mpango WA Kuacha Mauwaji Ya Gaza Leo Wala Keshooo
Mns Anahitaji Kizazi Kipya Gaza Hawa Waliopo Waishe Wotee
Wanaukumbi.
⚡️15 Israeli terrorists were eliminated by the resistance since the start of December according to Israeli announcements (the real number is more).
===============
Magaidi 15 wa Israeli waliondolewa na upinzani tangu mwanzo wa Desemba kulingana na matangazo ya Israeli (idadi halisi...
Tangu October 7 2023 tumeshuhudia vurugu za kijeshi za Israeli kujibu unyama waliofanyiwa na Hamasi,idadi kubwa ya raia wakiuwawa na kuteseka kutokana na mapigano kati ya Israel na Hamas
Lebanoni pia mapigano kati ya Hezbollah na Israel yameleta maafa makumbwa
Serikali ya mapinduzibua Irani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.