Kupitia mtandao wa ClubHouse Mzalendo wa Kweli Tundu Lissu anahutubia na anaeleza kwa kina historia ya machif. Ameeleza chimbuko la machif wakati wa ukoloni na kufutwa kwake 1965. Anasema katika utawala wa Mwalimu Nyerere bunge la Tz chini ya Katibu Pius Msekwa lilitunga sheria kupiga marufuku...
Kwani uchifu ni utamaduni wetu? Makabila mengi hawakuwa na wachifu. Waliwekwa na wakoloni kwa maslahi yao (km Wazanaki). Uchifu ulipigwa marufuku na sheria mnamo 1962. Machifu waliyokuwepo (km Adam Sapi, Fundikira, Kunambi nk) waliingizwa Serikalini katika nyadhifa mbalimbali.
Ufutaji wa...
Mtangulizi wake alipoenda mkoani Kilimanjaro alikaribishwa kwa kutandikiwa majani ya isale hii ni kuonyesha heshima kubwa na kukubalika.
Lakini Mtemi Hangaya hajapata mapokezi ya namna hii huu ni uthibitisho kuwa hakubaliki sana mkoani Kilimanjaro.
Wazee wa UCHAGANI, mkumbusheni Rais Samia. Mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji.
Mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji ili kuweza kule maendeleo Kwa mkoa na Taifa Kwa ujumla
Hi dhana Kwamba wachaga watakuja kuitawala TZ , ni mawazo ya kijamaa ambayo ni ujinga mtupu.
Huu ujinga umesababisha...
Akijibu swali la mwandishi wa habari aliyetaka kujua kwanini sasa kunaibuka makundi ndani ya CCM Dr Diallo amesema na yeye anasikia tu kwamba kuna makundi likiwemo Sukuma gang.
Diallo amesema Mwanza ndiko waliko Wasukuma original lakini wote wanamuunga mkono Rais Samia ambaye ni Chifu wao...
Wana JF
Baada ya Mama Yetu Rais na Chief kutema nyongo kwa makundi yanayoendelea kuandaa kuvuruga mipango yake ya sasa ya kuboresha nchi na kuondoa makondokonda makubwa pamoja na vidonda vilivyoachwa na serikali tangulizi, nupende tu kusema basi kifo rasmi cha Ccm asilia wanaojinasibu kama...
Hangaya bhana😂.. eti wasaidizi wananambia mheshimiwa umeteua wote wa tanga 🙄. Jibu: '..sifuati kabila mimi nafuata uwezo tu...wakikosea nawatumbua'. Lakini si ndio ushateua?😂😂.. Halafu wenye uwezo situnawaona?.. ukituteuliwa mabomu ya kale tunyamaze tu? 😏😏
The deputy secretary general of Lebanese resistance movement Hezbollah says the group’s import of Iranian fuel into Lebanon perplexed the US administration and its siege on Lebanon.
In an interview with al-Manar TV Channel on Friday, Sheikh Naim Qassem said the Iranian fuel shipments prompted...
Background Information
The Inter-University Council for East Africa (IUCEA) is a strategic institution of the East African Community (EAC) responsible for coordinating the development of human resources and research in the EAC Higher Education Institutions. The main objectives of IUCEA are to...
Kaizer chiefs ametinga fainali ya caf kwa mara ya kwanza..
Tutegemee kama chelsea na ma city uefa final
Maana upande wa al ahly na esperence yeyote atakaepita ni kigogo..
Kaizer ameshatangulia fainali
Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu ametangaza uteuzi wa Kachero David Barnea kushika wadhifa wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ujasusi la Israel almaarufu Mossad.
Mteuliwa huyu atachukua nafasi ya Yossi Cohen ambaye amemaliza muda wake.
----
Prime Minister Benjamin Netanyahu announced...
Ukikutana na Kulwa Kikumba kwenye corido za Lumumba hujitambulisha kama Chief Connector na kwamba kama unahitaji fursa ni lazima upitie kwake.
Ndio nauliza hao machief connector wapo hadi taifani au ni Dude pekee?
Kazi Iendelee!
22 May 2021
Abuja, Nigeria
Video courtesy of Channels Television
Nearly four months after being named as Nigeria’s Chief of Army Staff, Lt. General Ibrahim Attahiru, died yesterday evening in an air crash at the Kaduna International Airport.
The COAS, who was heading for Kaduna on official...
Kuelekea mchezo wa watani wajadi tarehe 8/5/2021 Na kwakuwa tuna mchezo mwingine muhimu zaidi na timu ya Kaizer chiefs kule Afrika kusini Na kwakuwa timu ya Yanga imekuwa na kawaida ya kucheza rafu nyingi inapokutana na Simba hii ya sasa nashauri watumike wachezaji wale tusio watumia kimataifa...
Tulionya Mapema sana kwamba Shetani hajawahi kumshinda Mungu katika lolote , na nadhani hata nyinyi wenyewe ni mashahidi, wote waliojipa uungu Mtu na kujimwambafai wanazidi kupukutika huku wengine wakiwa njiani.
Video hii inaonyesha umati wa watu wa Bukoba wakishangilia baada ya aliyekuwa...
Kwenye msiba ukialika mfano Rais huwa hatambulishwi kama Raisi anatakiwa kutambulishwa kama Chief Mourner au mwombolezaji mkuu
Mfano Iganda leo Rais kaenda msiba wa Kumzika zAskofu Mkuu wa Katoliki anatambulishwa kama Chief Mourner
Msiba wa kueleweka huwa na mgeni wa heshima ukiona huna mgeni...
Overview
T-MARC Tanzania is a non-profit Tanzanian organization working to improve public health and promote social development. Our socially marketed products and behavior change communication initiatives address pertinent health issues in family planning and reproductive health, child...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.