Huyu jamaa mda wote ni kutukana watu wote wasio na kipato kama yeye. Kazi ni kupost magari na nyumba anazopigia picha. Anakera sana. Sio uungwana kama ni fedha ni zako sie zinatuhusu nini?
Wakati akiwa UDSM akisomea Shahada ya Uchumi, Mwigulu alitambulika zaidi kwa jina la Chief Madelu na kuna taarifa za watu wake wa karibu alikuwa sio mhudhuriaji mzuri darasani kwenye Lecture, semina na presentations.
Lakini wakashangaa mwisho wa masomo yake chuoni akapata First Class kitu...
Doreen Bogdan-Martin has become the first woman to be elected as secretary-general of the International Telecommunication Union (ITU).
The ITU is the main technology agency within the UN.
Originally founded in 1865 to manage the first international telegraph networks, the ITU now has an...
Opportunity Summary
Abt Associates seeks a qualified Chief of Party a health facility electrification (HFE) and telecommunication activity. The activity will advance sub-Saharan Africa’s goals to improve the health and well-being of communities by drawing on private sector capacity and...
Overview
Location: To be determined , Tanzania
Please Note: This position is contingent upon award and USAID approval with an anticipated start date of early or mid-2023.
Overview:
Global Communities works at the intersection of humanitarian assistance, sustainable development, and financial...
Job no: 552517
Contract type: Fixed Term Appointment
Duty Station: Kibondo
Level: NO-3
Location: United Republic of Tanzania
Categories: Programme Management
UNICEF works in some of the world’s toughest places, to reach the world’s most disadvantaged children. To save their lives. To defend...
Nimeona taarifa ya Habari jana huko Kenya wakati kuwa Wafula Chebukati na tume yake walifuatwa na jopo toka ngazi za juu ikiongozwa na Naibu Mkuu wa Majeshi Bwana Ogolla akiongozana na IGP Joseph Mutyambai, Joseph Kinyua Mkuu wa utumishi wa Umma pamoja na Afisa wa Ikuli mmoja walimfuata na kumta...
Kwa wale wenzangu na miye watavikumbuka vizuri "Mfululizo" wa vitabu vya "Ujinga wa Mwafrika". Vitabu hivi vilikuwa kwa muda mrefu sehemu ya simulizi la "Mazungumzo Baada ya Habari" na vilisimulia hadithi fulani ya maisha wakati wa ukoloni au baada ya ukoloni na jinsi gani Waafrika tulikuwa...
SHAJARA YA MWANAMZIZIMA:
Mjue Diwani (Chifu) Mwinchuguuni aliyewatimua Wakamba Bagamoyo
Na Alhaji Abdallah Tambaza
MNAMO karne ya 1600 ama 1700 hivi, kabla nchi hii haijawa Tanganyika tuijuayo; maeneo mbalimbali yalikumbwa na mashambulizi kutokana na uvamizi wa kabila la Wakamba kutoka Kenya...
Kitu cha kwanza walichokifanya wakoloni walipokuja kwetu ni kutuambia kuwa kila kitu chetu hakifai, ni duni, ni uchenzi. Hii ikasababisha watu wabadilishe hata namna ya kuvaa, kuchana nywele, kula, matibabu, ulinzi na utawala. Tulifuta kabisa tawala na viongozi wa jadi na kukumbatia utamaduni wa...
Chief Finance Officer
Aga Khan Education Services
The position
Position Summary
The CFO Tanzania will provide leadership in finance, ICT, procurement and general administration in AKES, T. S/he will ensure effective risk management as well as compliance with AKES, T policy and professional...
Chief Finance Officer
Aga Khan Education Services
The position
Position Summary
The CFO Tanzania will provide leadership in finance, ICT, procurement and general administration in AKES, T. S/he will ensure effective risk management as well as compliance with AKES, T policy and professional...
Chemonics International Inc. is a US-based international development consulting, operating in over 80 countries, that anticipates a USAID funded project in Tanzania, USAID/Tanzania Heshimu Bahari.
Chemonics seeks a Chief of Party for the anticipated 5-year, $25-50 million Tanzania Heshimu...
Org. Setting and Reporting
This position is located in the Division of Administration, Registry under the direction of the Chief Administrative Officer.
Responsibilities
Budget preparation:
• Coordinates the preparation of the programme budget and performance reports of the Mechanism.
•...
POSITION TITLE: Deputy Chief of Party (Operations)
LOCATION: Dar es Salam, Tanzania
The DCOP (Operations) will work closely with the COP, DCOP (Programs), and other staff to assure implementation of budget, reporting, and other administrative aspects of the opportunity and will oversee F&A...
POSITION TITLE: Chief of Party
LOCATION: Dar es Salam, Tanzania
The Chief of Party (COP) will provide technical and administrative leadership and expertise to the YES Activity and will be the primary liaison with USAID/Tanzania, relevant ministries of the Government of Tanzania. The COP is...
POSITION- CHIEF FINANCE OFFICER
Background
The National Investments PLC (NICOL) is a public listed company at the Dar Es Salaam Stock Exchange (DSE) whose mission is to bring radical enhancement of participation of Tanzanians in their national economy.
As part of its continuous expansion...
ALASIRI MOJA NYUMBANI KWA CHIEF ABDALLAH SAID FUNDIKIRA 1992
(Hii makala sikuandika mimi mwandishi hataki jina lake litokee lakini siku hiyo ya mazungumzo tulikuwa pamoja ilikuwa November 1992).
Ilikuwa mnamo mwezi wa Novemba 1992, mida ya adhuhuri katika mizuguko ya kuwatembelea wakongwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.