The Supreme Conqueror
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 458
- 1,280
Msemaji wa serikali ya Kenya anasema kitu kama kile kile kuwa kuna usaidizi unao toka nje ya nchi kusupport maandamano " sasa hapo amekomea kusema usaidizi wa nchi za nje hajasema ni nchi gani.
AGENDA NAMBA 260B
Hivi unajua haya maandamano ya kenya aliyepo nyuma ya pazia ni Putin rejea,
unatambua pindi Putin ameanza kuivamia Ukraine alikuwa na magari na vifaa vimepigwa chapa gani? magari yalikuwa na chata imeandikwa "Z". Z ni alama ya kivita ya kijasusi ya Urusi ambapo sina mdaa wakuelezea sana hapa leo.
Njoo kenya niambia kundi ambalo linaleta vuguvugu hizi linajiitaje ??
Jibu utapata ni "GenZ" yani wanafupisha kwa neno la "Generation Z" so chukua Z ya Urusi + Gen Z ya vijana wa Kenya hapo nyuma kajificha mtu mmoja anaitwa Mrusi na ipo hivi...
Putin ameanzisha program kubwa Afrika kuanza kuwasambaratisha Mmarekani na Mfaransa ndio sababu maeneo yote kuna base za Kifaransa na wamarekani kuna waka moto au kuna mapinduzi na ukifatilia mwisho wanakuwa funded by mrusi mwenyewe.
Sasa William Ruto,kaisha ifanya kenya ni mdoli wa Wazungu na kiherere wa kuongea sana kama kuingilia diplomasia za Urusi juzi alikuwa anamsema Putin ache vita, sasa kumbe yeye anasema hayo Putin kaisha anda vuguvugu la kumpinduia inshort William Ruto ameponea chai na maandazi sababu program hii inawezekana kuja kurudiwa tena mwezi wa 12 kabla ya kuingia January maombi kwake.