Noma mzee, kila new year inaongeza year old. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aksante kiongozi tuombeane kheri, huku uhenga nao ukija mdogo mdogo.
Shukrani, nanyi pia tunawatakia sikukuu njema, mfunge mwaka vyema na kuanza mwaka ujao vizuri, aisei siku zinakwenda kwa kasi, uzee unapiga hodi.
Hawa hawanaga shikamoo.Kila kukicha uhenga unapiga hodi. Ukikuta unaonana na kijana au binti ambaye ni mkubwa, anakupa SHIKAMOO. Ujue umri umekutupa mkono.
[emoji1787][emoji23][emoji16]
Mvi zikianza tu,ujue ndio uzee tayari.heri mwaka mpyaShukrani, nanyi pia tunawatakia sikukuu njema, mfunge mwaka vyema na kuanza mwaka ujao vizuri, aisei siku zinakwenda kwa kasi, uzee unapiga hodi.
πππ Wanaita piko.Aha haaa
Mimi zimeanza kupiga hodi. Ila nitakomaa nazo kwa kupaka ile nyeusi hata jina siijui.
Dah,Ila mvi mzee unazingua balaa, yaani ni ngumu ku approach demu, yaani akiuona tu,anakupa bonge la shikamoo mpaka maini yanakata mzuka,alafu Sasa utaachankujiachia kwa mambo flani ulipokuwa unayafanya hapo kabla,dah! Ila tukubaliane tu na Hali mzee.π€£ππ
nimecheka balaa.
Kuna moja zamani tulikuwa tunaita kanta.
LOL me nnazo toka nikiwa secondary olevel, unanishaurije? πAha haaa
Mimi zimeanza kupiga hodi. Ila nitakomaa nazo kwa kupaka ile nyeusi hata jina siijui.
Dah,Ila mvi mzee unazingua balaa, yaani ni ngumu ku approach demu, yaani akiuona tu,anakupa bonge la shikamoo mpaka maini yanakata mzuka,alafu Sasa utaachankujiachia kwa mambo flani ulipokuwa unayafanya hapo kabla,dah! Ila tukubaliane tu na Hali mzee.
ππππ€£Duu mimi nikitaka kujimix na vijana mara utasikia SHIKAMOO.
PikoππLOL me nnazo toka nikiwa secondary olevel, unanishaurije? π