Wasomali wana nia ya kuinyakua Kenya kwa kuzaliana?

uhayani na uchagani umeishi kaka
 
Wana umoja lakin wameshindwa kuishi pamoja nchini mwao
Nadhan huelewi unachosema ww
Kabila moja
dini moja
lugha moja
Na bado wameshindwa kuishi pamoja kwene nchi yao! Hapakaliki

Ebu peleka huu upumbavu kwa asiyewajua wasomali
Akili ziko mak*lioni au?, kwanza kabisa mpumbavu ni ww mwenyewe ...umeelewa ninachokiongelea?, umefikiri Kwa kina nilichokiandika?, kwani umekunywa au? Na je umoja ninaozungumzia hapa umeuelewa?, kuhusu machafuko huko somalia sio ishu, ni suala la tamaa za kidola ambapo hata mataifa yaliyoendelea Hilo lipo Kwa version tofauti, asilimia kubwa ya raia wa kisomali hawapendezwi na Hali hiyo bali wajinga(wenye Tamaa, wabaguzi, egoist) wachache ndio wanaosababisha hayo machafuko.

Ukitaka kujua hili, kwenye nchi za watu yaani ugenini unaweza kujua na kuona ninachosema, Leo hii Mtz mwenzako anaweza kukutupa kweupe lakini siyo hao ninaowataja na tena kama wana interests zinazofanana ndiyo kabisa hawatupani.

Unadhani jamii yenye umoja hawagombani?, zunguka dunia nzima lazima utakuta tabaka moja linabagua jingine, kundi la watu linapigana na kundi la watu jingine aidha Kwa sababu za kibaguzi, maslahi binafsi nk hivyo kuzua migongano yenye version nyingi tofauti, jamii zenye kujiona Bora duniani ndizo zilizoendelea financially aidha Kwa mtu mmoja mmoja au Kwa makundi, zunguka dunia nzima utakuta Somalians wamedominate sehemu nyingi na kuwa outshine wenyeji.
 
Umesahau kuwa East Africa community inaenda kuwa moja. Na kwa taarifa yako wasomali wamebust sana uchumi wa Kenya ukiachilia ugaid wao.
 
Safi sana, Kenya si wamejidai ujanja kuinyakuwa Garisa kutoka Somalia.

Inabidi Wazanzibari wafanye hivyo huku Tanganyika. Wazaliane kama pimbi.
 
Umesahau kuwa East Africa community inaenda kuwa moja. Na kwa taarifa yako wasomali wamebust sana uchumi wa Kenya ukiachilia ugaid wao.
Kwann wasibust kwao kuwa na vigorofa kadhaa ndo kubust uchumi

Ebu ongea kwa takwimu bana
 
Not with hayo makabila yakiwa juu, hayo makabila mawili ndio native kenyans, by 2050 kikuyu ,lunya,kalenjin bado wataendelea kuwepo so it wont be that simples
Hakuna kitu kama hicho, jamii zote za africa ni wahamiaji. Hata wakikuyu na walyuha ni wageni, sema wao walikuja kwa wingi.

Kwani Ruto kabila gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…