CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Hata mimi , Mwakasege hua nikipata muda namfatiliaHao watu ni wajinga mnoo
Nilipo Niko Kwa dada angu Kwa muda yaani anamuamini Mwamposa na kumuita mtume kabisaa
Jana nikamuambia Mimi nampenda mwakasage najua mitume walishaisha Hawa wengine matapeli tu
Mara Nabii,Mara mtume,mara kuhanj usanii mtupu
Wanajitajirisha tu kupitia ujinga wetu
Hapo hujui unalouliza!!!Hili uwe mkiristo kwanza ujitoe akili kwa muda mfano kwenye biblia kuna kulasa zinazo elezea kuzaliwa kwa yesu na ukoo wamama yake na makuzi yake maisha yake kwa jumla alafu heti mtu kabeba kitabu hicho kwapani kila aendako alafu heti mchungaji ana mwambia yesu ndie Mungu mkuu [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] tangu lini Mungu akavaa nepi?
Watoto waliokufa kwa kunyimwa chakula hawajadhuriwa ?Ni imani yao naheshimu hilo maadam hawajamdhuru mtu.
Hakuna Muislam anakula nguruwe, acha kujipa Matumaini na UPUMBAVU wenuHapa mkuu ndo wanapokoseaga, nina marafiki waislamu wanakula nguruwe na jana baada ya mwezi kuisha pombe na nguruwe hilo hali testify uislamu ni DINI ya ovyo ni DINI nzuri ujinga upo kwetu sisi wapokeaji[emoji23][emoji23] no OFFENSE MKUU, ni wapumbavu tu hiyo haifanyi ukristo kuwa wa ovyo
Yupo jela na amegoma kula,anaendelea na mfungo dadeki,[emoji3]Ila kenya wana occults nyingi kwa mwamvuli wa ukristo. Halafu baba mchungaji bila shaka yeye hajafunga
Unadhani wale mbuzi wa pale Kawe wakiambiwa wafanye kitu watakataa?Wakristo wa mchongo hao
Wanaweza kufanya maajabuUnadhani wale mbuzi wa pale Kawe wakiambiwa wafanye kitu watakataa?
Watu hawaelewi kabisaaaNINACHOMPEDA SANA YESU NI KWAMBA YOOTE HAYA ALISHA YAONYA MIAKA 2000 ILIYOPITA.
Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali.
Mathayo 7:15
24 Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule.
Tazama, nimekwisha kuwaonya mbele.
Mathayo 24:25
YOHANA AKAJA KUKAZIA KABISA.
Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani.
1 Yohana 4:1
UNATAKA MTU AWAONYE KIASI GANI?????????????
Unaongea ukiwa wapi,hawa wanaovaa mabomu na kuua watu wasio na dini kwa jina la Allah we huwasikii?extrimist wapo kila diniUislam hauna manabii wala mitume wa michongo .....
Kama mtu anaambiwa atoe pesa zote abakize nauli tu na anafanya hivyo afu anaenda omba watu wamsaidie nauli wategemea nini?Wanaweza kufanya maajabu