Update: Miili iliyofukuliwa ya Waumini waliofunga hadi kufa yafikia 83
NINACHOMPEDA SANA YESU NI KWAMBA YOOTE HAYA ALISHA YAONYA MIAKA 2000 ILIYOPITA.


Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali.

Mathayo 7:15

24 Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule.
Tazama, nimekwisha kuwaonya mbele.

Mathayo 24:25

YOHANA AKAJA KUKAZIA KABISA.

Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani.

1 Yohana 4:1


UNATAKA MTU AWAONYE KIASI GANI?????????????
 
HAO sio wakristo hawana kristo ndani Yao.

Kristo hakuacha Mafundisho kama hayo.

KAMA HUFUATI MAFUNDISHO YA YESU KRISTO HUWEZI KUWA MKRISTO.

HAO WANA IMANI YAO TIFAUTI KABISA NA KRISTO.
 
Hao watu ni wajinga mnoo
Nilipo Niko Kwa dada angu Kwa muda yaani anamuamini Mwamposa na kumuita mtume kabisaa
Jana nikamuambia Mimi nampenda mwakasage najua mitume walishaisha Hawa wengine matapeli tu
Mara Nabii,Mara mtume,mara kuhanj usanii mtupu
Wanajitajirisha tu kupitia ujinga wetu
Hata mimi , Mwakasege hua nikipata muda namfatilia
 
Hili uwe mkiristo kwanza ujitoe akili kwa muda mfano kwenye biblia kuna kulasa zinazo elezea kuzaliwa kwa yesu na ukoo wamama yake na makuzi yake maisha yake kwa jumla alafu heti mtu kabeba kitabu hicho kwapani kila aendako alafu heti mchungaji ana mwambia yesu ndie Mungu mkuu [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] tangu lini Mungu akavaa nepi?
Hapo hujui unalouliza!!!
 
Ipo siku kuna mchungaji atawainamisha waumini wake awapige mijegeje na watakubali
 
Hapa nadhani wanasingizia huyo mchungaji! Hii ni njaa inaua watu!
 
Hapa mkuu ndo wanapokoseaga, nina marafiki waislamu wanakula nguruwe na jana baada ya mwezi kuisha pombe na nguruwe hilo hali testify uislamu ni DINI ya ovyo ni DINI nzuri ujinga upo kwetu sisi wapokeaji[emoji23][emoji23] no OFFENSE MKUU, ni wapumbavu tu hiyo haifanyi ukristo kuwa wa ovyo
Hakuna Muislam anakula nguruwe, acha kujipa Matumaini na UPUMBAVU wenu
 
NINACHOMPEDA SANA YESU NI KWAMBA YOOTE HAYA ALISHA YAONYA MIAKA 2000 ILIYOPITA.


Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali.

Mathayo 7:15

24 Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule.
Tazama, nimekwisha kuwaonya mbele.

Mathayo 24:25

YOHANA AKAJA KUKAZIA KABISA.

Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani.

1 Yohana 4:1


UNATAKA MTU AWAONYE KIASI GANI?????????????
Watu hawaelewi kabisaaa
 
Back
Top Bottom