Ndiyo ndo siasa zao zilivyo kazi zote nyeti Raisi anawape tribesmen wake, lakini lazima wawe na qualification sahihi, na kweli wajaluo wamesoma wengi wa fit civil service, akipita wata faidika sanaHapo ndipo wanapofeli wakenya kwenye suala la ukabila!! Kwani rais wa kabila lako akiwa rais atakupa pesa za bure? je atakupa kiwanja cha kujenga nyumba? je atalipa karo au ada ya shule ya watoto wako? Ukweli ni kwamba hakuna faida yoyote ya binafsi unayoipata!! Achaneni na ukabila.
Bahati mbaya sana hata sisi ndiko tunakoelekea!Hapo ndipo wanapofeli wakenya kwenye suala la ukabila!!
Hapa bongo tunanyemelewa na udini hasa!! Siku nhizi kila wakati rais akitangaza uteuzi watu wanakimbilia kuona ni wangapi wa jumapili na wangapi nwa ijumaa!! Huu ugonjwa ni mbaya sana!! Ninaamini kabisa hata rais mwenyewe anapata muda mgumu sana anapofanya maamuzi ya uteuzi!! Analazimika kujitahidi kubalance hizi imani mbili kitu ambacho kinapunguza ufanisi!!Bahati mbaya sana hata sisi ndiko tunakoelekea!
Wanasiasa wetu ambao wengi wao wamefilisika wanatumia sana hii silaha ya ukabila, ukanda na udini kufanikiwa kisiasa.
Tukiendelea hivi kizazi kijacho kitapata wakati mgumu sana kuliko hata huko Kenya.
Ukweli mchungu!!
Ni kweliSi kwamba Raila Odinga ni king'ang'anizi, la hasha! Bali ana ile spirit ya "NEVER EVER GIVE UP WHILE YOU STILL ALIVE"
Kweli yaaniHapo ndipo wanapofeli wakenya kwenye suala la ukabila!! Kwani rais wa kabila lako akiwa rais atakupa pesa za bure? je atakupa kiwanja cha kujenga nyumba? je atalipa karo au ada ya shule ya watoto wako? Ukweli ni kwamba hakuna faida yoyote ya binafsi unayoipata!! Achaneni na ukabila.
Safari hii anashinda una lingine!!??Raila Odinga alijiapiza kuwa lazima awe rais wa kenya kabla hajafa!! Leo anagombea kwa mara ya tano akiwa na miaka 77. Na jamaa huyu hujaribu bahati yake kupitia vyama mbali mbali, na mwaka huu anagombea kupitia umoja wa vyama uitwao AZIMIA LA UMOJA.
Swali, je akiangukia pua mwaka huu ataweza kugombea tena huo mwaka 2027 atakapokuwa na miaka 82 au ndo itabidi akubali matokeo ya kufa bila kutimiza ndoto na apio lake?
Kumbe Mzee bado ni mdogo sana, ana miaka 68 tu ukilinganisha na 77 ya Raila Odinga. Tumtie moyo Lowasa kugombea tena 2025, na 2030. Huo mwaka 2030 Lowasa atakuwa na miaka 76 tu na atakuwa anagombea kwa mara ya tatu tu!
=====
Raila again, a fifth time: A look into his 4 previous attempts at presidency.
Raila Odinga has run for presidency four times: in 1997, 2007, 2013 and 2017.
View attachment 2318905
Keshapigwa hukoSafari hii anashinda una lingine!!??
Mbona hueleweki? Huko juu umesema Odinga 49% mara imeshuka mpaka 47%Gap linazidi kuongezeka approximately Ruto 51% Vs Raila 47%. Mzee mzima anaelekea kupigwa mweleka!!
Kura zinabadilika kwa kasi kwa kadri wanavyojumlisha matokeoMbona hueleweki? Huko juu umesema Odinga 49% mara imeshuka mpaka 47%
Sasa atashindaRaila Odinga alijiapiza kuwa lazima awe rais wa kenya kabla hajafa!! Leo anagombea kwa mara ya tano akiwa na miaka 77. Na jamaa huyu hujaribu bahati yake kupitia vyama mbali mbali, na mwaka huu anagombea kupitia umoja wa vyama uitwao AZIMIA LA UMOJA.
Swali, je akiangukia pua mwaka huu ataweza kugombea tena huo mwaka 2027 atakapokuwa na miaka 82 au ndo itabidi akubali matokeo ya kufa bila kutimiza ndoto na apio lake?
Kumbe Mzee bado ni mdogo sana, ana miaka 68 tu ukilinganisha na 77 ya Raila Odinga. Tumtie moyo Lowasa kugombea tena 2025, na 2030. Huo mwaka 2030 Lowasa atakuwa na miaka 76 tu na atakuwa anagombea kwa mara ya tatu tu!
=====
Raila again, a fifth time: A look into his 4 previous attempts at presidency.
Raila Odinga has run for presidency four times: in 1997, 2007, 2013 and 2017.
View attachment 2318905
Wakenya wataamua kama wanaamini kuwa ya kale ni dhahabu au kizazi kipya ndio suluhisho la changamoto za sasa! Wakati Raila Odinga ana miaka 77, William Ruto ana miaka 55 (Kikwete aligombea akiwa na miaka 55 akashinda!!). Mkapa alipata urais akiwa na miaka 57. Inaelekea umri mzuri wa kuweza kufanikiwa kuwa rais ni umri wa miaka 55-60. Zaidi ya hapo kwa waafrika akili inakuwa imechoka sana!! Ila jibu la mwisho wanalo wakenya!