Mbunge mmoja wa Kenya amekamatwa kufuatia matamshi aliyotoa dhidi ya Rais Uhuru Kenyatta wikendi iliyopita

Hvyo ulivyovitaja unaweza ukatuonyesha kazi ya katiba mpya na hvyo vipengele vyako km vinaendana au ni mauno tu unakata
 
Ni makaburu tu, mimi siwaonei haya hata kidogo, haiwezikani muongoze ninyi tu tangu Kenya ipate uhuru wake, na zaidi ya 60% ya nafasi zote serikalini ni wao tu.[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Kabila kuu la ccm vipi[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanaachia lini nchi kw wanyonge
 

Sioni kibaya alichoongea
 
Hawa kunya ingekuw tz wangetapika kila aina ya uhalo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…