Mbunge mmoja wa Kenya amekamatwa kufuatia matamshi aliyotoa dhidi ya Rais Uhuru Kenyatta wikendi iliyopita

We hujui kuhusu sare zetu za polisi kwhyo kaba ndula

Isn’t that the reason why I asked ? There’s no shame in not knowing things but clearly you don’t have an idea on how your police force had to wear uniforms which corresponds to the ones with KDF
 
Isn’t that the reason why I asked ? There’s no shame in not knowing things but clearly you don’t have an idea on how your police force had to wear uniforms which corresponds to the ones with KDF
Sasa mbona una force vitu jomba[emoji23][emoji23][emoji23]
Police hku pia wana combat zao, kumbe hata hujui
 
Nini mnaongoza katika political assassinations na Police Killings in Africa, vipi unasema ninataka tufanane na wauaji?
Lkn uzuri katika viwanja vya bunge kenya kuna cctv, hoteli zote kubwa kubwa pia zipo wala huwezi kuta wapiga picha kw angle
 
Hivi hadi sasa POLISI ya Kenya ineshaua raia wangapi kwasababu ya Curfew?, Kenya police tops Africa on Killings
Polisi wa kenya wanaua lkn hawaui kisha wakazika watu na kuficha makaburi, tatizo mbunge fulani aliposema mkambambikizia kesi
 
Sasa mbona una force vitu jomba[emoji23][emoji23][emoji23]
Police hku pia wana combat zao, kumbe hata hujui

Ndio maana nimekuuliza the differences na kwanini wakiamua kuvaa combat zinazofanana na KDF kwa sehemu kubwa ?
 
Ndio maana nimekuuliza the differences na kwanini wakiamua kuvaa combat zinazofanana na KDF kwa sehemu kubwa ?
We hujui kitu sasa utasemaje km zinafana, kweli unajielewa..
Yani kwenu nguo ikiwa tayari ni ya jeshi, amkeni majamaa, mumelala sana
 
We hujui kitu sasa utasemaje km zinafana, kweli unajielewa..
Yani kwenu nguo ikiwa tayari ni ya jeshi, amkeni majamaa, mumelala sana

Hili swali halikuwa kuhusu Tanzania lingekuwa la kuhusu Tanzania ningekuelewesha kuwa kwa sheria zetu kuvaa nguo yoyote inayofanana na TPDF ni kinyume na sheria lakini pia hakuna mwingiliano wa ufanano wa mavazi katika majeshi yetu upande wa Tanzania.
Hivyo basi nikataka kufahamu kuhusiana na upande huo wa Kenya lakini naona hauko na nia ya kufafanua wala kuelezea ulinganifu huu wa mavazi wala historia yake .
 
Sasa umekuja vizuri, Polisi huaga kuna uniform nyingi upande huu wa kwetu..
Kw mfano kuna no.1,2,3 na kila namba ina kazi na maana yake. Then kw sasa pia kuna ile ya blue ambayo ndio wanatakiwa wavae mijini ila ni vile mambo bado yanakwenda kw kasi ya chini sana
 

Hawa wanaovaa hizi za kufanana na KDF ni kwanini?
 
Hawa wanaovaa hizi za kufanana na KDF ni kwanini?
We kilaza usiniquote tena mimi, nenda kafie mbele km hukuelewa..
Kwenda hko na maswali yako ya kijinga, yani unaonekana mweupe kabisa kumbe inaonyesha hta maana ya combat hujui
 
Hivi katiba mpya kazi yake ni nini? Ukiangalia kwa undani, hii katiba utafikiri inawalinda watu fulani pekee, wengine inawatupa nje ya ulingo.
 
Hivi katiba mpya kazi yake ni nini? Ukiangalia kwa undani, hii katiba utafikiri inawalinda watu fulani pekee, wengine inwwatupa nje ya ulingo.
Kenya is a confused country, hawajui wanakwenda wapi, utasikia Katiba, ikipatikana utasikia Punda amechoka, utasikia BBI.

Tangu ipatikane Katiba, bado ukabila, rushwa, nepotism, crime, hunger, unemployment ndio vinazidi kuongezeka.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 

Kwa hiyo kumbe ukiangalia kwa undani na kutafakari, tatizo la kenya siyo katiba mpya (kwa kuwa imeshindwa kuwa muarobaini wa matatizo yao ya msingi) bali ni kitu kingine ambacho hata wao wakenya hawajui namna ya kukitatua.
 
Kwa hiyo kumbe ukiangalia kwa undani na kutafakari, tatizo la kenya siyo katiba mpya (kwa kuwa imeshindwa kuwa muarobaini wa matatizo yao ya msingi) bali ni kitu kingine ambacho hata wao wakenya hawajui namna ya kukitatua.
Wanajua wazi kwamba tatizo la Kanya ambalo ni kiini cha matatizo mengine yote ni "Ukabila", lakini kwasababu kabila ambalo ndilo linalomiliki uchumi na Siasa za Kanya ndilo linalofaidika na ukabila, hawapotayari kupambana na ukabila, wakikubali ndio mwanzo wa anguko lao.

Hii inafanana kabisa na uliokua utawala wa wazungu Africa ya kusini, walikua hawakubali kuwepo na demokrasia kwasababu walijua watapoteza umiliki wa uchimi na siasa, japo walijua kwamba ubaguzi wa rangi haufai.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 


Kwa hiyo nchini kenya, kabila la wakikuyu ndiyo makaburu weusi.
😛 😛 😛
 
Kwa hiyo nchini kenya, kabila la wakikuyu ndiyo makaburu weusi.
[emoji14] [emoji14] 😛
Ni makaburu tu, mimi siwaonei haya hata kidogo, haiwezikani muongoze ninyi tu tangu Kenya ipate uhuru wake, na zaidi ya 60% ya nafasi zote serikalini ni wao tu.[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…