KENPAULITE
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,511
- 3,313
My thoughts tooHamna kitu huniboa kama slow internet ya Tanzania, kule yaani hata kufanyia kazi huko ni mateso, Voda tu ndio nilikua naona wana kaunafuu sema na wao hawajafikia viwango vya Kikenya.
Sometimes cheap is very very expensive.