Hamna kitu huniboa kama slow internet ya Tanzania, kule yaani hata kufanyia kazi huko ni mateso, Voda tu ndio nilikua naona wana kaunafuu sema na wao hawajafikia viwango vya Kikenya.
Sometimes cheap is very very expensive.
Hamna kitu huniboa kama slow internet ya Tanzania, kule yaani hata kufanyia kazi huko ni mateso, Voda tu ndio nilikua naona wana kaunafuu sema na wao hawajafikia viwango vya Kikenya.
Sometimes cheap is very very expensive.
Voda gb 10 bundle la wiki unatumia siku 3 au 4 imeisha,hapo ujaangalia youtube,netflix au video yoyote online ba hata ujadownload chochote gb 10 inaisha siku 4 kwa kuchat tu!bongo watu wanaibiwa sana!