Kufikia Mei 2022, shughuli zote za SGR zitakua kwenye mikono ya wazawa

Kufikia Mei 2022, shughuli zote za SGR zitakua kwenye mikono ya wazawa

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Wazawa wazalendo wa nchi hii wanaendelea kurithi shughuli zote za SGR kutoka kwa Wachina, wamepokea mafunzo na elimu maalumu inayohusu teknolojia ya SGR, pia chuo kimeboreshwa kuendelea kupokea wanafunzi zaidi, safi sana ndugu zetu, tuiboreshe nchi yetu.
===========================

The Railways Training Institute (RTI) has been refurbished by the government in preparation for the takeover of the Standard Gauge Railway(SGR) train operations by Kenya Railways Corporation.

Speaking on March 5 during a tour of the refurbished RTI, Transport and Infrastructure Cabinet Secretary (CS) James Macharia said that the institute would enable the government to cater to a large number of Kenyans who wanted to work in the industry.

“We have new infrastructure within RTI that will be used to upgrade the skills of both SGR and metre gauge railway staff. There is no need for an SGR if we do not create opportunities for Kenyans.
“We have the brick and mortar but if you do not train the people, then you cannot have a successful transfer of technology from the Chinese to Kenyans,” CS Macharia said.

The Railways Training Institute now has the capacity to train up to 800 Kenyans using the same standards used to train the SGR Kenyan staff who undertook a training exercise in China.

The institute has been upgraded at a cost of Ksh1 billion and it now includes modern laboratories and technical workshops that will be crucial in training the people who will work on the SGR.
Since its launch in 2017, the SGR has been operated by a Chinese company, Afristar, a subsidiary of the firm that built the Mombasa - Nairobi railway line. The company will be exiting in May 2022 which will see KRC takeover, hence the need for a world-class training institution.

Afristar was given a contract for ten years but the Kenya Railways said this was subject to review after five years. The company will be exiting the market following an agreement to cede operations to Kenya Railways.

Kenya Railways announced that it has already started taking over some of the SGR operations including ticketing, management of security and fuelling of trains.

The handover will happen in phases and is expected to be complete by May 2022 coinciding with the fifth anniversary of the Madaraka Express service.

a

Kenya Railways MD Philip Mainga (standing) and Nzoia Sugar MD Wanjala Makokha address the media on Thursday, January 28, 2021
FACEBOOK
 
Wazawa wazalendo wa nchi hii wanaendelea kurithi shughuli zote za SGR kutoka kwa Wachina, wamepokea mafunzo na elimu maalumu inayohusu teknolojia ya SGR, pia chuo kimeboreshwa kuendelea kupokea wanafunzi zaidi, safi sana ndugu zetu, tuiboreshe nchi yetu.
===========================

The Railways Training Institute (RTI) has been refurbished by the government in preparation for the takeover of the Standard Gauge Railway(SGR) train operations by Kenya Railways Corporation.

Speaking on March 5 during a tour of the refurbished RTI, Transport and Infrastructure Cabinet Secretary (CS) James Macharia said that the institute would enable the government to cater to a large number of Kenyans who wanted to work in the industry.

“We have new infrastructure within RTI that will be used to upgrade the skills of both SGR and metre gauge railway staff. There is no need for an SGR if we do not create opportunities for Kenyans.
“We have the brick and mortar but if you do not train the people, then you cannot have a successful transfer of technology from the Chinese to Kenyans,” CS Macharia said.

The Railways Training Institute now has the capacity to train up to 800 Kenyans using the same standards used to train the SGR Kenyan staff who undertook a training exercise in China.

The institute has been upgraded at a cost of Ksh1 billion and it now includes modern laboratories and technical workshops that will be crucial in training the people who will work on the SGR.
Since its launch in 2017, the SGR has been operated by a Chinese company, Afristar, a subsidiary of the firm that built the Mombasa - Nairobi railway line. The company will be exiting in May 2022 which will see KRC takeover, hence the need for a world-class training institution.

Afristar was given a contract for ten years but the Kenya Railways said this was subject to review after five years. The company will be exiting the market following an agreement to cede operations to Kenya Railways.

Kenya Railways announced that it has already started taking over some of the SGR operations including ticketing, management of security and fuelling of trains.

The handover will happen in phases and is expected to be complete by May 2022 coinciding with the fifth anniversary of the Madaraka Express service.

a

Kenya Railways MD Philip Mainga (standing) and Nzoia Sugar MD Wanjala Makokha address the media on Thursday, January 28, 2021
FACEBOOK

Lipeni madeni ya watu. Mara sijui kuanza kulipa deni la mChina kumesogezwa mbele. Mpaka mkafanya sherehe.
Deni la watu, lipeni.
 
Hivi bado mnateleza kwa SGR kama nilivyomsikia Harmonize akisifia kwenye ule wimbo wake wa CCM.
SGR Northern corridor imekufa , Congo, Burundi,Rwanda,tuko nao mradi mkubwa zaidi 1220km upande Tanzania haitaki haraka unatumia Zako unakopa kidogo.isije ukaishia njiani Kama kunya land na kuelemewa na mzigo wa madeni.
Uganda tunawapelekea SGR ziwa Victoria na meli ya mizigo inaundwa kwa pamoja.hii ngoma inaenda kuishia Atlantic ocean

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Lipeni madeni ya watu. Mara sijui kuanza kulipa deni la mChina kumesogezwa mbele. Mpaka mkafanya sherehe.
Deni la watu, lipeni.

Dayaspora wa Buza asiyejua kingereza, tunateleza kwa SGR 600km na sasa imepokezwa kwa wazawa, hadi raha aisei...hehehe
 
mbona unatuonyesha kiupandeupande vp Mchina kalipua tena?

Inakaa hivi
advanced-technician-diploma-in-building-construction.jpg



735b67bcefa795688e66925b0afab0184bcbaa2f.jpg



faculty-of-engineering-and-technology.jpg



kama mitambo ya chang'aa!
Nilidhani unajua kusoma kingereza, kwenye hiyo taarifa, kwa kiswahili imeandikwa kuwa imekuwa ikipewa sura mpya.

wewe unaleta picha za kitambo. Ukarabati hata hujakamilika
 
Hii sgr imekua mkokoten kwakwel unakaa kwenda Mombasa n kama umekalia yale
Mabas ya chania n makelele tu ya, chuma Unaskia yakisagana
 
Back
Top Bottom