Kenya yapiga hela ndefu kutokana na mauzo ya zao la parachichi, mlitucheka sana tulipoanza kupambana

Kenya yapiga hela ndefu kutokana na mauzo ya zao la parachichi, mlitucheka sana tulipoanza kupambana

Nikuulize, wasema ni kidogo, kwani zilikuwa zigawanywe nchi nzima,au wadaishaje. Wewe hapo wasema ndogo, wakulima wakizipata washaridhika. 😂 😂 😂
Sasa ksh 4b ndio uje kupiga kelele humu!?
 
Nikuulize, wasema ni kidogo, kwani zilikuwa zigawanywe nchi nzima,au wadaishaje. Wewe hapo wasema ndogo, wakulima wakizipata washaridhika. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jamaa ameleta takwimu ambazo zinaonesha kwamba kwa mwaka Tz wanaingiza $12M tu za exports ya mapachichi. Wakati Kenya mwaka wa 2020 iliingiza $125M. Alafu bado anaiponda Kenya akisema hizo hela ni ndogo sana. Hawa watu ni vichaa. [emoji1]
 
Jamaa ameleta takwimu ambazo zinaonesha kwamba kwa mwaka Tz wanaingiza $12M tu za exports ya mapachichi. Wakati Kenya mwaka wa 2020 iliingiza $125M. Alafu bado anaiponda Kenya akisema hizo hela ni ndogo sana. Hawa watu ni vichaa. [emoji1]
Mzee 93% ya mwaka huu for 1/4 ni ksh 4b
Utasemaje mnaingiza $124m!?
 
Unaweza kuleta taarifa kutoka kwenye official website!? Mzee mambo ya IT Mimi ni mbobezi. Huwezi kuniletea website uchwara.
Unaona unavyo ji contradict!?
Umesema:-
The value of Kenya’s avocado exports jumped 93 per cent to Sh4.26 billion in the first quarter of this year.

Do you know 93% maana yake!?
Umechanganyikiwa wewe, hizo takwimu zipo kule juu kwenye mada ya uzi huu. Usiwe na mazoea ya kurukia moja kwa moja kwenye comments.
 
Jamaa ameleta takwimu ambazo zinaonesha kwamba kwa mwaka Tz wanaingiza $12M tu za exports ya mapachichi. Wakati Kenya mwaka wa 2020 iliingiza $125M. Alafu bado anaiponda Kenya akisema hizo hela ni ndogo sana. Hawa watu ni vichaa. [emoji1]

wapo watu huko Njombe kutoka SA wanalima avocados sana tu. Wanapeleka South Africa.
 
Umechanganyikiwa wewe, hizo takwimu zipo kule juu kwenye mada ya uzi huu. Usiwe na mazoea ya kurukia moja kwa moja kwenye comments.
Mzee ndicho tunachoongelea usilete hasira.
The value of Kenya’s avocado exports jumped 93 per cent to Sh4.26 billion in the first quarter of this year
Naomba unieleze maana ya maneno haya.
93% maana yake before ilikuwa chini ya ksh4b.
Sitaki hasira mzee hapa tunajadiliana.
Na usilete uongo. Thread mmeianzisha wenyewe. Hapa tunapiga hesabu kwa pamoja.
 
Hakuna, wewe ndio umechanganyikiwa kupitiliza jombaa. [emoji38]
Mzee sipendi ubabaishaji ujue.
Hebu toa maelezo hapa:-
The value of Kenya’s avocado exports jumped 93 per cent to Sh4.26 billion in the first quarter of this year
Compare na hiki unachokiweka $126m
Hivi unajia math kweli wewe!?
 
Nimemtolea mifano, yaani zaidi ya moja ya mamilionea wa maparachichi nchini Kenya. Huyo ni sampuli ya watu wa kupuuzwa tu. Hana uwezo wa kung'amua kilichoandikwa kwenye hizo link hata akizifungua kwa bahati mbaya. Hana hoja, hana takwimu ni umbea tu. Ndio maana sasa anauliza hao matajiri wana nyumba ngapi na magari mangapi. [emoji1] Bure kabisa!
Kulima mmoja wa Tanzania ni sawa na hao mamilionea wenu wote

 
Huyu mtanzania mmoja tu anapata 47 million kes au billion 1 ya Tanzania kwa mwaka, hapo vipi?
[]
47 million Tz money ukiconvert into Kenyan Shillings Ni Ushuzi mtupu 🤭🤣🤣🤣🤣🤣
 
47 million Tz money ukiconvert into Kenyan Shillings Ni Ushuzi mtupu 🤭🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe ni mpumbavu hujui hata uchumi.
Unajua PPP. 🤣 🤣 🤣 🤣 Tunaongelea 47billion Mzee ni sawa na ksh4.3Billion
 
Mzee sipendi ubabaishaji ujue.
Hebu toa maelezo hapa:-
The value of Kenya’s avocado exports jumped 93 per cent to Sh4.26 billion in the first quarter of this year
Compare na hiki unachokiweka $126m
Hivi unajia math kweli wewe!?
Jombaa, $125M ni jumla ya exports za maparachichi kutoka Kenya mwaka jana, kwa miezi 12. KES 4.26B ni export ya mapachichi kwa miezi mitatu ya kwanza mwaka huu. Ni nini kinakukanganya hapo?
 
Back
Top Bottom