BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Mzozo kati ya Makamishna wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) unazidi kuongezeka baada ya pande hizo mbili kuteua Mawakili tofauti kuwawakilisha kwenye maombi ya kupinga Matokeo ya Uchaguzi wa Rais.
Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa IEBC Hussein Marjan aliifahamisha Mahakama Kuu wameteua Mawakili 26 ambao wataiwakilisha Tume na Mwenyekiti wake Wafula Chebukati.
Upande wa Makamishna waliokataa Matokeo ya Urais ukiongozwa na Juliana Cherera, Makamu Mwenyekiti wa IEBC pia umeteua Mawakili wao watakaosimama kutetea hoja za kuyakataa Matokeo waliyodai hayakuwa sahihi na yaliingiliwa.
=========================
The rift among commissioners of the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) widened even further yesterday after the two sides appointed separate sets of lawyers to represent them in the petitions challenging the outcome of the August 9 presidential election.
IEBC CEO Hussein Marjan notified the Supreme Court that it was appointing 26 law firms that will represent the commission and its chairperson Wafula Chebukati, a decision that could see the taxpayer cough up hundreds of millions of shillings to pay their legal bills.
But the appointments, communicated by Mr Marjan, were silent on the representation of the other six commissioners including Prof Abdi Guliye and Boya Molu, who are also listed as respondents in the petitions challenging the outcome of the August 9 presidential election.
NATION
Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa IEBC Hussein Marjan aliifahamisha Mahakama Kuu wameteua Mawakili 26 ambao wataiwakilisha Tume na Mwenyekiti wake Wafula Chebukati.
Upande wa Makamishna waliokataa Matokeo ya Urais ukiongozwa na Juliana Cherera, Makamu Mwenyekiti wa IEBC pia umeteua Mawakili wao watakaosimama kutetea hoja za kuyakataa Matokeo waliyodai hayakuwa sahihi na yaliingiliwa.
=========================
The rift among commissioners of the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) widened even further yesterday after the two sides appointed separate sets of lawyers to represent them in the petitions challenging the outcome of the August 9 presidential election.
IEBC CEO Hussein Marjan notified the Supreme Court that it was appointing 26 law firms that will represent the commission and its chairperson Wafula Chebukati, a decision that could see the taxpayer cough up hundreds of millions of shillings to pay their legal bills.
But the appointments, communicated by Mr Marjan, were silent on the representation of the other six commissioners including Prof Abdi Guliye and Boya Molu, who are also listed as respondents in the petitions challenging the outcome of the August 9 presidential election.
NATION