Kenya inaunda pilot boats tatu na nchi iliyoagiza ni Tanzania

Kenya inaunda pilot boats tatu na nchi iliyoagiza ni Tanzania

Ferries kama hizi Kenya huagiza Uturuki

Barges kama hizi Tanzania huagiza Kenya maana hamna uwezo wa kuzijenga.


Hapa Kazi Tu 01​

TPA Barge
The first of the two cargo barges ordered by the Tanzania Ports Authority (TPA) has been launched at our shipyard in Mombasa.
Hapa Kazi Tu 01, classed by Bureau Veritas, is 77.98 m long with a 11.83 m beam and will operate from the port of Tanga in Tanzania.
 
Barges kama hizi Tanzania huagiza Kenya maana hamna uwezo wa kuzijenga.


Hapa Kazi Tu 01​

TPA Barge
The first of the two cargo barges ordered by the Tanzania Ports Authority (TPA) has been launched at our shipyard in Mombasa.
Hapa Kazi Tu 01, classed by Bureau Veritas, is 77.98 m long with a 11.83 m beam and will operate from the port of Tanga in Tanzania.
Dar badge by Songoro marine
10906426_401382473358665_4287314043532633474_n.jpg



10805637_385357274961185_7989039245834461846_n.jpg



10850057_385357224961190_5046104468985829438_n.jpg



This is a badge for Zanzibar
 
Kiswahili kigumu kidogo huko kwenu naona kama sisi ilivyo kinge kigumu

Niliposema bidhaa inapatikana kwa jirani na mbali(manaake ceteris peribus)

Achana na bei na ubora(hivi viko sawa) ila ni bora ununue Kenya kuliko China

BTW: Mimi Sio masikini(Tanzania yenyewe ni masikini ila sio wote "tupo" masikini)

Rudia tena nilichokiandika, mwanabiashara hufanya maamuzi ya manunuzi kulingana na mikakati na mipango ya kibiashara, pumba za undugu tupa kule.
Hakuna mwenye akili timamu atafuata bidhaa zozote Uchina kama ana uhakika wa kuzipata kwenye nchi jirani na zitakazokidhi vigezo vya ubora na unafuu kwenye bei. Hii ndio sababu viongozi wa Kiafrika wanapigwa mabao na China, maana wale Wachina walishagundua namna ya kuhakikisha mazingira ya uzalishaji yapo bora kwa wawekezaji, hivyo wanaishia kuvipa viwanda vya huku Afrika ushindani mkali.

Siku mkianza kutumia akili, mtaona mlivyoneemeka, mataifa mengi yaliyowazunguka yote yanaagiza Uchina na kupitishia bandari ya hapo kwenu vitu vingi tu ambavyo kuna uwezekano mkubwa wa kuvizalisha humo humo kwenu pale mkiacha usanii wa viwonder vya vyerehani.
 
Rudia tena nilichokiandika, mwanabiashara hufanya maamuzi ya manunuzi kulingana na mikakati na mipango ya kibiashara, pumba za undugu tupa kule.
Hakuna mwenye akili timamu atafuata bidhaa zozote Uchina kama ana uhakika wa kuzipata kwenye nchi jirani na zitakazokidhi vigezo vya ubora na unafuu kwenye bei. Hii ndio sababu viongozi wa Kiafrika wanapigwa mabao na China, maana wale Wachina walishagundua namna ya kuhakikisha mazingira ya uzalishaji yapo bora kwa wawekezaji, hivyo wanaishia kuvipa viwanda vya huku Afrika ushindani mkali.

Siku mkianza kutumia akili, mtaona mlivyoneemeka, mataifa mengi yaliyowazunguka yote yanaagiza Uchina na kupitishia bandari ya hapo kwenu vitu vingi tu ambavyo kuna uwezekano mkubwa wa kuvizalisha humo humo kwenu pale mkiacha usanii wa viwonder vya vyerehani.
Nimekwambia wewe ndo usome nilichoandika uelewe
 
Ferries kama hizi Kenya huagiza Uturuki

Unaropokwa kwamba kampuni hii ya SECO haiwezi kuunda ferry? SECO ndio ilijengea Uganda ferry inayotumika Lake Albert.



Albert Nile 1​

Type: Modular Passenger Ferry
Length: 42.44m
Breadth : 17.26m
Capacity: 200 passengers and 20 vehicles
download (1).jpeg
download (2).jpeg
MV-Albert-nile-By-SECO-3.jpg
 
Unaropokwa kwamba kampuni hii ya SECO haiwezi kuunda ferry? SECO ndio ilijengea Uganda ferry inayotumika Lake Albert.


Albert Nile 1​

Type: Modular Passenger Ferry
Length: 42.44m
Breadth : 17.26m
Capacity: 200 passengers and 20 vehicles
View attachment 1763832View attachment 1763833View attachment 1763835
Tatizo wenye hii kampuni si Mkenya! Foreign owned! labda utueleze owners wa SECO!



pitia hapa level ya kenya ni sawa na level ya Mwanza

 
Kuna hizi pilot boats tatu ambazo mumeagiza tuwatengenezee. Kampuni inayounda ni kampuni inayoitwa SECO engineering ya Mombasa. Tuko karibu kumaliza na by June boats zitakuwa tayari. Sisi ni jirani wema na tunawajali. Kenya ni nchi ya viwanda ndio maana tunawajengea pilot boats. Pilot boat inakaa hivi kwa wale ambao hawajui
View attachment 1763109View attachment 1763110

Hata Ntv imeongea kuhusu jambo hili.

Mchukuwe mahindi yetu kwanza. Ndipo tuzungumze kuhusa biashara hiyo
 
Hii ndio sababu kuu kwanini Tanzania bado mpo maskini miaka yote hii, mnaendesha biashara zenu kindugu ndugu badala ya mahesabu ya kibiashara. Ukiwa na bidhaa nafuu, hakuna mwanabiashara atakwenda mbali, siku zote unanunua chochote kwa kufanya mipango na mahesabu, kama kipo karibu ya mipaka yako na kama bei yake ni nafuu na kama kitakua chenye ubora, hayo ya undugu hayahusu chochote kwenye corporate world.
Umasikini wetu tunaujua. Na Africa wanaujua. Kenya mlikuwa kuna kula na makaburi na kufanya biashara nao. Tanzania ulikuwa vitani kulomboa bara letu. Na nyie Kenya tuliwasaidia kabla mzungu kuondoka.
 
Kuna hizi pilot boats tatu ambazo mumeagiza tuwatengenezee. Kampuni inayounda ni kampuni inayoitwa SECO engineering ya Mombasa. Tuko karibu kumaliza na by June boats zitakuwa tayari. Sisi ni jirani wema na tunawajali. Kenya ni nchi ya viwanda ndio maana tunawajengea pilot boats. Pilot boat inakaa hivi kwa wale ambao hawajui
View attachment 1763109View attachment 1763110

Hata Ntv imeongea kuhusu jambo hili.

Ni vema sana ndo maana hata sisi tuna tengeneza na kurepea meli za uganda za lake victory so pesa izunguke huku huku EAC
 
Ukishajua namna ya kula na hawa hautajali viburi vyao, unanyatia nyatia tu kwa kwenda mbele, wanatukana, wanakejeli ila wewe umo humo humo unakomalia tu.

Pumbavu zako, kumbe unajua tunaviburi?
 
Back
Top Bottom