barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Nina rafiki mkenya, akisikia mtu ni mnaijeria ananiambia achana nae..anakuseti akuibie..n sio yeye tu. Wakenya wengi hawawakubali wanaijeria..Huu upumbavu wa Wasouth utaisha lini, yaani wana chuki dhidi ya Wanaijeria kupita maelezo, lolote mbaya likifanywa na mgeni mweusi wao wanatumia kama fursa dhidi ya Wanaijeria. Hapa ni wazi Watanzania ndio wametajwa maana wanasemekana ndio wanaongoza kama wauza unga na wahalifu, lakini mwisho wa siku Mnaijeria ndiye anapokea kichapo.
Hii bifu ya Nigeria na Afrika Kusini sijui itaisha lini.
Wakenya sijajua wanaijeria wamewafanyia kitu gani.