China yatia pembeni deni la Kenya hadi baadaye, mlisubiri sana kuona tukidondoka

China yatia pembeni deni la Kenya hadi baadaye, mlisubiri sana kuona tukidondoka

Wakati mnakopa mlikua hamjui kuna kulipa?sasa hv mmeambiwa kwa nchi zinazoendelea kama kenya mpewe nafuu kidogo lakini deni liko pale pale....Kwa kiswahili kingine mmefilisika hamna uwezo wa kulipa madeni mmefulia kama asemavyo Joti....kenya ndio baba yao ukanda Huu kwa madeni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
COVID-19 ilivyolipuka mlichukua pesa kibao haya vp sasa imeisha? Pesa mlizonywea soup na kachori mtazilipa mpende msipende hakuna pesa za bure,hamkujua mnakula pesa zenu wenyewe
Hahaha. Wewe jamaa naona umefurahi sana kwamba tuna madeni. Usijali tutayalipa tu.
 
Usichekelee, mmeshindwa kulipa deni kwa sababu ya UMASIKINI wenu.
Hiyo suspension is for short term. In fact the loan is not amortizing. It's there to stay.

Hili deni lisiwape tabu, wamefanya vyema sana kuacha tupige hela kwanza kipindi hiki cha corona, mlikua mumesubiri kwa hamu sana.
 
COVID-19 ilivyolipuka mlichukua pesa kibao haya vp sasa imeisha? Pesa mlizonywea soup na kachori mtazilipa mpende msipende hakuna pesa za bure,hamkujua mnakula pesa zenu wenyewe

Hili deni la Kenya kwa Mchina lilikua gumzo la taifa Bongo, sasa sijui mtalia nini.... limewekwa pembeni tupige hela kwanza kipindi hiki cha corona, haina noma tutalipa maana sisi ni taifa tajiri, juzi KRA imekusanya mapato mara mbili yenu.
Kwan nyie mlipokua mnaomba omba msamehewe madeni kisa corona hamkua mnatumia akili.
 
Hiyo Ni hasara zaidi maana dolar inazidi kupanda Bei...exchange rate ya Leo siyo sawa na exchange rate ya miaka miwili au kumi ijayo..so hiyo itakua na faida kwa wachina
 
Kudaiwa NI UTUMWA.
hayo madeni uwa hayaishi mtarithishana vizazi na vizazi.
 
Nasema tutajifunza kupitia kwa masaibu ya deni tunayopitia sasa hivi. Kwani kuna ubaya nikisema hivyo? I am not being proud.
Finally you have become humble [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kweli mchina ni dawa tosha.. Ila Kenya ni pango la mafisadi na ni Mali ya mzungu
 
Hili deni lisiwape tabu, wamefanya vyema sana kuacha tupige hela kwanza kipindi hiki cha corona, mlikua mumesubiri kwa hamu sana.

Haliwezi kunipa tabu mimi. Dawa ya deni ni kulipa. Lipeni hela ya watu.
 
Hahaha. Aki this is good news. Kuna watu walikuwa wanangojea tushindwe kulipa ili waanze kutuchekelea.

Cc Geza Ulole ichoboy01
Eti walikua wanasubiria mshindwe kulipa? Kwani mmeweza kulipa? Wamepose week ndio mnapata mshawasha hivi? Hii inaonesha namna mlivyo na hali ngumu
 
Haliwezi kunipa tabu mimi. Dawa ya deni ni kulipa. Lipeni hela ya watu.

Lazima tuichezee dana dana kwanza....
Kwa sasa wacha tupige hela, kuna madubwasha tunazindua mojawapo ikiwemo express way inayopitia angani, yaani hapa Nairobi patapendeza kuzidi "Uraya" ile ambayo huwa mnaimbiwa kwenu huko.
 
Mtakufa na madeni na cha ajabu pesa zenyewe zinaliwa na wajanja wachache nyinyi wakina MK254 mnakufa njaa tu halafu unakuja hapa kushangilia upigaji wa pesa uliofanywa na viongozi wako!!

Kenya sio maskini kama Tanzania, kwanza kodi tunakusanya mara mbili yenu, uchumi wetu umezidi wenu mara mbili, tunawazidi kielimu, tunawazidi kila kitu ikiwemo kuongea English, hivyo hamtupei tabu nyie watu.
Hela ya Mchina tunaaichezea dana dana kwa sasa maana uwezo huo tunao, nyie maskini mpaka leo mumeshindwa kulipa sijui eti hela za TAZARA, yaani deni la mababu zenu, hovyoo kabisa, halafu nyie ndio nchi pekee dunia hii ambayo ndege zenu hukamatwa kisa madeni ya watu.
 
Kumbe mmeweza kulipa??[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hili deni la Kenya kwa Mchina lilikua gumzo la taifa Bongo, sasa sijui mtalia nini.... limewekwa pembeni tupige hela kwanza kipindi hiki cha corona, haina noma tutalipa maana sisi ni taifa tajiri, juzi KRA imekusanya mapato mara mbili yenu.
Kwan nyie mlipokua mnaomba omba msamehewe madeni kisa corona hamkua mnatumia akili.
Mara mbili kivipi? Sasa jiulize sisi iyo tsh 2trillions ndio hela ndefu kuwahi kukusanya...hatujapoa tumeshasign mkataba na mchina kujenga reli tutagharamia wenyewe 3trillions mkataba wa 3yrs sasa nyie ndugu zetu pesa zote hizo mnazokusanya mnafanyia nn?????

Mkianza kua serious kubana matumizi nakuongeza vyanzo vya mapato basi tutawagopa n kuwapea heshima lakini mnavyoenda hivyo tunawadharau
 
Mara mbili kivipi? Sasa jiulize sisi iyo tsh 2trillions ndio hela ndefu kuwahi kukusanya...hatujapoa tumeshasign mkataba na mchina kujenga reli tutagharamia wenyewe 3trillions mkataba wa 3yrs sasa nyie ndugu zetu pesa zote hizo mnazokusanya mnafanyia nn?????

Mkianza kua serious kubana matumizi nakuongeza vyanzo vya mapato basi tutawagopa n kuwapea heshima lakini mnavyoenda hivyo tunawadharau

Hautaona tunachokifanya maana umejitia upofu, nchi hii imekua kama Ulaya, kila nikigeuza kichwa ni full maendeleo, mavitu yanazinduliwa, tunaibukiwa na barabara ambazo hatukua tunazifahamu, kwa kasi ambayo Kenya inapaa nayo usipokua makini utajihisi mgeni kwenye nchi yako, leo hii hata Nairobi kuna maeneo yananikanganya, siamini ni hii Nairobi niliyokua nakatiza katiza kote.
 
Hautaona tunachokifanya maana umejitia upofu, nchi hii imekua kama Ulaya, kila nikigeuza kichwa ni full maendeleo, mavitu yanazinduliwa, tunaibukiwa na barabara ambazo hatukua tunazifahamu, kwa kasi ambayo Kenya inapaa nayo usipokua makini utajihisi mgeni kwenye nchi yako, leo hii hata Nairobi kuna maeneo yananikanganya, siamini ni hii Nairobi niliyokua nakatiza katiza kote.
Sasa ni wap barabara hazijengwi?haya Nairobi bado kunashida ya maji maeneo kadhaa vipi uko mikoani hali itakuaje
 
Lazima tuichezee dana dana kwanza....
Kwa sasa wacha tupige hela, kuna madubwasha tunazindua mojawapo ikiwemo express way inayopitia angani, yaani hapa Nairobi patapendeza kuzidi "Uraya" ile ambayo huwa mnaimbiwa kwenu huko.
Ni ulaya sio uraya
 
Lazima tuichezee dana dana kwanza....
Kwa sasa wacha tupige hela, kuna madubwasha tunazindua mojawapo ikiwemo express way inayopitia angani, yaani hapa Nairobi patapendeza kuzidi "Uraya" ile ambayo huwa mnaimbiwa kwenu huko.

Muwe mnaona na aibu nyakati nyingine. Kwani hamkusikia ule msemo wa wahenga usemao "dawa ya deni ni kulipa"? Hizo zingine ni mbwembwe tu.
 
Sasa ni wap barabara hazijengwi?haya Nairobi bado kunashida ya maji maeneo kadhaa vipi uko mikoani hali itakuaje

Barabara zinazojengwa Kenya kunazo haitokuja muwe nazo hata miaka hamsini ijayo, acha asikuambie mtu hadi raha tu yaani.
 
Back
Top Bottom