Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, ametangaza kuwa mazungumzo kati ya Ukraine na Marekani yatafanyika Saudi Arabia wiki ijayo, akielezea matumaini kuwa mkutano huo utakuwa na maana katika juhudi za kusaka amani ya kudumu.
Zelensky hatahudhuria mazungumzo hayo lakini amesisitiza kuwa Kyiv...
Binafsi sioni sababu za Zelensky kuendelea kuishukuru Marekani, wakati amefanya hivyo mara nyingi. Tena kipindi hiki Ukraine yuko kwenye wakati mgumu sana, kwa kuzingatia kwamba:
1. Trump ameweka wazi kwa zelensky kuwa hawawezi kuungana na NATO.
2. Trump na watu wake wameweka wazi kama kuna...
Mfalme Suleimani aliwahi kusema hakuna jipya chini ya jua.
Jana limetokea jambo ambalo limeshangaza dunia kidogo, lakini ukweli ni kwamba kama wewe ni msomi wa historia utafahamu kwamba fedheha za waziwazi na namna ile zimewahi kufanywa na Raisi wa Marekani General Dwight Eisenhower mwaka 1956...
Februari 28, 2025, Donald Trump kupitia mtandao wa X, alimkashifu Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky kwa kutoheshimu nchi ya Marekani wakati wa mkutano wake na raisi huyo katika ikulu ya Marekani. Trump alimkosoa Zelensky juu ya kutoheshimu nchi hiyo kwa kuidharau ndani ya ofisi ya "oval" na...
Mabishano Makali Katika Oval Office: Zelensky Aingia Katika Mvutano Mkubwa na Viongozi wa Marekani
Rais DonaldTrump na Rais wa Ukraine #VolodymyrZelensky walikuwa na mivutano mikali wakati walipokutana katika Ikulu ya White House.
Trump na Makamu wake Rais JDVance walionyesha wazi kuwa waliona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.