Mzee Msekwa amesema wakati muungano unaasisiwa yeye alikuwa ni Katibu wa bunge na ndiye aliyeupeleka Ikulu muswada huo baada ya kupitishwa na bunge ili ukasainiwe na iwe sheria.
Mzee Msekwa anasema alipofika Ikulu na kumweleza Rais kuwa wabunge wote kwa kauli moja wamepitisha mswada wa muungano...
Mwaka 2016 Y.K Museveni alitanganzwa mshindi kwenye uchaguzi wa Raisi huku mpinzani wake Col Dkt kizza Besigye akiwa gerezani katika kipindi chote cha kuhesabu kura na utangazaji matokeo
Baada Raisi Museveni kuapishwa kua raisi wa nchi hiyo na kuanza majukumu yake ndipo Col Dkt kizza besigye...
1 Timothy 5:23
"No longer drink only water , but use little wine for the sake of your stomach and frequent ailments."
Whatever you are going to do with that information, is not my problem.
Kiongozi wa upinzani nchini Uganda Robert Kyagulanyi, al maarufu Bobi Wine, ametuma picha ya polisi na jeshi wakionekana nje ya nyumba yake kabla ya kampeni za uchaguzi mdogo unaotarajiwa kufanyika katika wilaya ya Kayunga.
Rais Yoweri Museveni anatarajiwa kutembelea katika wilaya ya Kayunga...
Media personality Kawalya Isaac Kayz has stated that singer Jose Chameleon Uganda's Number One Musician, far much better than Bebe Cool and Bobi Wine.
During a Live TV Show dubbed Uncut Sabula, Kayz said that every song Chameleon releases becomes a hit and on top of that his music is classic...
Its all about love.....!❣️
Iko hivii....
Kuna mahala nilienda kwenye shughuli ya kiofisi, baada ya ziara kuisha tukatembezwa kwenye karakana kuona uzalishaji...
Muda ukawa umeisha tukiwa tunajiandaa kuondoka tukaulizwa kila mtu aseme anachotumia tunapewa zawadi. Mie nikasema naomba Red Sweet...
Lawyer Male Mabirizi ran to court and filed a case against Kyagulanyi who graduated from the university over 20 years ago with a Diploma in Music, Dance and Drama-MDD that he lawyer says obtained fraudulently since the singer cum politician was not eligible for admission to the university...
Binafsi sikujua kua kiwanda cha Dodoma wine kina products nyingi zaidi ya ile pendwa ya DOMPO ambayo ni maarufu sana mtaan.
Leo nawaletea picha za baadhi ya product zinazotengenezwa na kiwanda hicho chenye maskani yake mji mkuui wa
Binafsi Dodoma Tanzania
Ukitazama vyema picha hii, utagundua kuna mtu mmoja tu mweusi (Muafrika). Huyo ndiye Nearest au “Master Distiller” kwa jina maarufu. Alizaliwa wakati wa utumwa mnamo huko nchini Marekani 1820. Huyu bwana ndio mwalimu aliyemfundisha Jack Daniels jinsi ya kuchakata mvinyo huo. Ilikuwaje?
Jack...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.