who africa

  1. K

    Tumejipangaje kuishi katika Utawala wa Trump?

    Hapo Jana, Trump ameapishwa kama raisi wa 47 wa U.S, moja ya hatua alizochukua ni kuitaka U. S kujiondoa haraka Sana WHO. Hakuna asiejua kuwa America inamchango mkubwa Sana kwenye budget ya shirika hili, na wote tunakubaliana kuwa who ina umuhimu Sana katika Ku pambana na Changamoto za Afya...
  2. toriyama

    Ikitokea tukapewa nafasi nyingine, Prof. Janabi anafaa kuwa Mbadala katika nafasi ya Faustine Ndugulile DG-WHO

    Ikitokea tukapewa nafasi Nyingine, Prof . Janabi anafaa kuwa Mbadala katika nafasi ya Faustine Ndungulile DG-WHO-africa Tanzania bado tuna akiba ya watu muhimu na wenye taaluma zao wanaojua nini kifanyike wakati gani na muda gani na kwa sababu gani hasa linapokuja katika taaluma ya Afya...
  3. Mindyou

    President Samia Suluhu mourns the passing of Kigamboni MP and WHO Africa Director-Elect Dr. Faustine Ndugulile

    President Samia Suluhu Hassan has extended her condolences to the Speaker of the National Assembly, Dr. Tulia Ackson, following the death of Kigamboni MP and WHO Regional Director-elect for Africa, Dr. Faustine Ndugulile. Dr. Ndugulile passed away in India at the age of 55. In a message shared...
  4. CM 1774858

    CCM: Salamu za Rambirambi kufuatia kifo cha Mheshimiwa Dkt. Faustine Ndugulile, Mbunge wa Jimbo la Kigamboni na Mkuu wa WHO Africa

    Makalla: Salamu za Rambirambi kufuatia kifo cha Mheshimiwa Dkt Faustine Ndugulile, Mbunge wa Jimbo la Kigamboni na Mkuu wa WHO AFRICA.
  5. Mindyou

    Mshahara wa Dkt. Ndugulile akishaanza kazi WHO ni noma. Rais wa India akasome

    Habari za asubuhi wanajamvi Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa...
  6. B

    Dkt. Ndugulile kujiuzulu ubunge Februari 2025 atakapothibitishwa rasmi kuwa Mkurungenzi mpya wa WHO-Afrika

    Dkt. Faustin Ndugulile (55) ametangaza adhma kuachia ngazi nafasi yake ya ubunge wa jimbo la Kigamboni baada ya kuteuliwa kuwa Mkurugenzi mpya wa shirika la Afya Duniani (WHO) kanda ya Afrika. Alitoa umauzi huo wa kuachana na kuwatumikia wapiga kura wake wa jimbo la Kigamboni leo jioni Septamba...
  7. Lusungo

    Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

    Hii ni hotuba tamu ya mheshimiwa Jenister Joachim Mhagama waziri wa Afya wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville Hapo alikua anasoma nimejiuliza sana angekua anatoa kichwani kwake ingekuaje. Jionee.. PIA SOMA Jenista Mhagama ana CV tosha, uongozi...
Back
Top Bottom