weather

  1. BabaMorgan

    Current weather in Makete tubanane tu hapa mjini

    Wakati unalala ukiwa umewasha feni ama ac hii ndio hali halisi ya Makete.
  2. Black Opal

    Hali ikoje huko uliko na mvua hii iliyonyesha siku nzima?

    Wakuu salaam, Mvua leo imetunyoosha kama imejiunga kifurushi cha siku. Yaani toka asubuhi mpaka usiku huu kuna maeneo mvua bado inayesha. Huko ulipo hali ikoje? Njia zinapitika au kumefurika? Wapangaji wenzangu, dalali aendelee kuzima simu au mambo shwari?
  3. Mathanzua

    Geo-engineering or Weather modification through Chemtrail operations by the NWO or “cloud seeding” by China to form is real

    The world’s largest communist dictatorship, China, has invested some $168 million into efforts to control the weather, according to the World Economic Forum (WEF). The globalist “Great Reset” organization run by Klaus Schwab put together a video – watch below – that reveals China’s plans to...
  4. Mathanzua

    Kama kuna mtu anadhani hali ya hewa tunayoiona inaletwa na kukata misitu etc uzi huu umuamshe

    UTANGULIZI. Mkutano unao address mabadiliko ya hali ya hewa,COP26, umekuwa unaendelea Glasgow.Tunaloaminishwa ni kwamba sisi Wanadamu ndio tunaohusika kwa kiwango kikubwa na hali hii kwa kukata misitu nk.Wamefika mbali zaidi,na kudai kwamba mifugo kama Ng'ombe na hata Kilimo cha zao la Mpunga...
  5. R

    TMA vs BBC/CNN weather forecast: Mama Kijazi mnakosea wapi?

    Kwa wiki kama mbili nyuma sasa, TMA walitoa utabiri kuwa kutakuwa na mvua kubwa mikoa ya ukanda wa pwani ya Tanzania. Haikutokea mpaka leo hii hakuna mvua. Jana nikaangalia BBC/CNN weather wakasema coast of Tanzania with a mentin of DSM kutakuwa na mvua. Kweli sasa hivi niadikapo mvua kubwa...
Back
Top Bottom