Job no: 552517
Contract type: Fixed Term Appointment
Duty Station: Kibondo
Level: NO-3
Location: United Republic of Tanzania
Categories: Programme Management
UNICEF works in some of the world’s toughest places, to reach the world’s most disadvantaged children. To save their lives. To defend...
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuwahudumia Watoto, UNICEF, limesema idadi ya watu wasio na uhakika wa kupata maji safi na salama imeongezeka kwa kasi katika Pembe ya Afrika, huku eneo hilo likikumbwa na ukame mbaya zaidi kuwahi kutokea katika kipindi cha miaka 40.
UNICEF imesema leo kuwa...
Watoto 1,000 Nchini Ukraine wameuawa au kujeruhiwa vibaya tangu kuanza kwa vita baia ya taifa hilo na Urusi, Februari 24, 2022.
Shirika la Umoja wa Mataifa Linalohudumia Watoto (UNICEF) imesema ina takwimu za Watoto 972 waliouawa lakini idadi ya kweli huenda ikawa kubwa zaidi kwa kuwa...
Job no: 552388
Contract type: Consultancy
Duty Station: Dar-es-Salaam
Level: Consultancy
Location: United Republic of Tanzania
Categories: Innovation
UNICEF works in some of the world’s toughest places, to reach the world’s most disadvantaged children. To save their lives. To defend their...
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kuwahudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) Bi. Catherine Russell amehoji kuwa ni watoto wangapi wanapaswa kufa kabla ya viongozi kuchukua hatua ya kuwaweka salama watoto pamoja na shule.
Akitolea mfano wa vifo vilivyotokea katika shambulizi la risasi...
Shirika la Kuwahudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) limedai kuwa mataifa tajiri Duniani yanahatarisha maisha ya watoto kutokana na uzalishaji mkubwa wa gesi za sumu zinazoathiri afya zao.
Kituo cha Utafiti cha UNICEF kimetafiti mataifa 39 ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiuchumi na...
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limeripoti kuwa vita inayoendelea Nchini Ukraine imekuwa na madhara makubwa kwa watoto, ambapo wengi wao wanahitaji msaada wa kisaikolojia.
Watoto zaidi ya milioni moja wa Ukraine kwa muda wa miezi miwili wamekuwa katika mateso kutokana...
Zaidi ya watoto milioni 10 ni miongoni mwa wale wanaokabiliwa na ukame mkali katika Pembe ya Afrika.Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, Unicef, linakadiria kuwa idadi hii ni milioni tatu zaidi ya ilivyokuwa miezi miwili iliyopita.
Mkurugenzi Mtendaji wa Unicef Catherine Russell...
NBC is the oldest serving bank in Tanzania with over five decades of experience. We offer a range of retail, business, corporate and investment banking, wealth management products and services.
Job Summary
To ensure digital channel availability to customers and management SLA with internal and...
Job no: 549047
Contract type: Fixed Term Appointment
Duty Station: Dar-es-Salaam
Level: G-5
Location: United Republic of Tanzania
Categories: Finance and Administration
UNICEF works in some of the world’s toughest places, to reach the world’s most disadvantaged children. To save their lives. To...
Digital Communication Officer,(NO-2),Dar es salaam, Tanzania#00119095(Temporary Appointment 364 Days)
Job no: 548190
Contract type: Temporary Appointment
Level: NO-2
Location: United Republic of Tanzania
Categories: Communication / External Relations
UNICEF works in some of the world’s...
Mataifa ambayo tayari yanakabiliwa na ongezeko la umasikini, ukosefu wa usawa na migogoro yanashuhudia janga la #COVID19 likitishia zaidi miaka ya maendeleo ya kukomesha ukeketaji
Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Watoto (UNICEF) linasema hata kabla ya COVID-19, Wasichana Milioni 68...
Job no: 548026
Contract type: Temporary Appointment
Level: NO-3
Location: United Republic of Tanzania
Categories: Child Protection
UNICEF works in some of the world’s toughest places, to reach the world’s most disadvantaged children. To save their lives. To defend their rights. To help them...
Construction Specialist (P-3) Dar es salaam, Tanzania#00119014 Temporary appointment 364 Days
Job no: 547692
Contract type: Temporary Appointment
Level: P-3
Location: United Republic of Tanzania
Categories: Health
UNICEF works in some of the world’s toughest places, to reach the world’s most...
Shirika la Afya Ulimwenguni, WHO limesema kasi ya maambukizi ya virusi vya corona aina ya omicron inaanza kupungua barani Afrika, baada ya wiki kadhaa za kusambaa kwa haraka.
Mhudumu wa Afya akiandaa dozi ya chanjo ya Covid-19
Mkurugenzi wa shirika hilo anayehusika na hali ya dharura kiafya...
National Business Analyst for innovation software prototypes Consultancy in Dar es Salaam, TANZANIA.
Job no: 545553
Contract type: Consultancy
Level: Consultancy
Location: United Republic of Tanzania
Categories: Knowledge Management
UNICEF works in some of the world’s toughest places, to...
Shirika la Umoja wa Matifa linaloshughulika na Watoto (UNICEF) limeitaja Uganda kuwa nchi iliyofunga shule kwa muda mrefu ambao ni wiki 77 japo wana idadi ndogo ya maambukizi
Watoto zaidi ya milioni 15 wamebaki nyumbani ambapo UNICEF wamesema kufunga shule kunaleta shida katika makuzi yao...
Shirika la UNICEF limesema Mtu 1 kati ya 5 wenye umri wa miaka 15 - 24 duniani husema ana Msongo wa Mawazo. Siku ya Afya ya Akili Duniani huadhimishwa Oktoba 10 kila mwaka.
Imeelezwa, kila mwaka Vijana wapatao 45,800 hupoteza maisha kwa kujiua, sababu ambayo imetajwa kuwa ya 5 kwa vifo vya...
Shirika la Kuhudumia Watoto (UNICEF) imesema theluthi moja ya Watoto chini ya miaka 2 katika Nchi zinazoendelea hupata Chakula wanachohitaji kwa ukuaji bora
Ripoti ya UNICEF imesema majanga mbalimbali ikiwemo ghasia, mlipuko wa COVID-19 na mabadiliko ya Tabia Nchi yamekwamisha Maendeleo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.