Waziri Kombo akutana na mwakilishi wa UNICEF
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo amekutana na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF), Bi. Elke Wisck kujadili kuimarisha ushirikiano katika kuwalinda watoto...
Ripoti ya Mei, 2023 ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF), imeonesha jumla ya watoto milioni 640 wa mataifa mbalimbali chini ya miaka 18 wamebainika kuolewa, Tanzania ikiwepo.
Ripoti hiyo imebainisha kuwa katika Ukanda wa Afrika Mashariki na Kusini hali ni mbaya zaidi...
Senior Operations Associate, GS7, Zanzibar, Tanzania
The UNICEF Tanzania office is seeking to recruit a Senior Operations Associate based in Zanzibar. The successful candidate will be responsible for the operations functions, facilitating change, providing risk-informed, solution-focused...
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF), limeipongeza Tanzania kwa kupiga hatua kubwa katika masuala ya uwazi kwenye mchakato wa uandaaji na utekelezaji wa Bajeti Kuu ya Serikali kutokana na matokeo ya utafiti wa uliofanywa na Shirika hilo.
Pongezi hizo zimetolewa jijini Dodoma...
Dreaming big is in our DNA. It’s who we are as a company. It’s our culture. It’s our heritage. And more than ever, it’s our future. A future where we’re always looking forward. Always serving up new ways to meet life’s moments. A future where we keep dreaming bigger. We look for people with...
Halo wanna intelligent,
Lengo la kuja hapa ni kukupa taahadhari Kuna jumbe feki zinatembea mitandao ya kijaamii kua unicef Africa inagawa hela za bure kwa watu huo ni utapeli na UNICEF wamesema hawafanyi huduma hio watu wanaingiliwa acc Kisha inaandika umepokea mill 2700000 from UNICEF hao ni...
Kabla sijajiingiza kichwa kichwa naomba kupata mrejesho ambao mlitangulia kwenye huu mgao hii kitu ni ya kweli?
Sizani kama kuna watu wanauelewa na hii kitu nimeona wengi wakipost na kujimwambafai kwamba wamesaidiwa na hili shirika.
Mimi utafiti wangu wa mchongo ikabidi nifanye kujiridhisha...
Jamii naomba tusaidiane kuelimisha juu ya utapeli unaofanyika hasa kwa mtandao wa facebook kwa kutumia jina la UNICEF.
Utapeli huu sasa umekithiri na watu wengi sana wanaendelea kuumia juu ya utapeli unaofanyika na kikundi kinachotumia jina la UNICEF na kudai kuwa wanatoa msaada wa fedha mara...
Job no: 570977
Contract type: Consultant
Duty Station: Dodoma
Level: Consultancy
Location: United Republic of Tanzania
Categories: Education
UNICEF works in some of the world’s toughest places, to reach the world’s most disadvantaged children. To save their lives. To defend their rights. To help...
Job no: 570629
Contract type: Temporary Appointment
Duty Station: Kigoma
Level: NO-2
Location: United Republic of Tanzania
Categories: Child Protection
Key functions/accountabilities:
1. Support to programme development and planning
Conduct and update the situation analysis for the...
Ripoti mpya iliyotolewa na shirika la UNICEF inaonyesha kuwa zaidi ya wanawake milioni 230 duniani kote ni manusura wa ukeketaji. Ongezeko hilo limechangiwa na ukuaji wa idadi ya watu katika nchi fulani.
Ripoti mpya iliyotolewa na shirika la UNICEF inaonyesha kuwa zaidi ya wanawake milioni 230...
Job no: 569789
Contract type: Consultant
Duty Station: Dar-es-Salaam
Level: Consultancy
Location: United Republic of Tanzania
Categories: Social Policy
UNICEF works in some of the world’s toughest places, to reach the world’s most disadvantaged children. To save their lives. To defend their...
Position: Temporary Appointment Technology for Development Specialist, P3
Job no: 569434
Contract type: Temporary Appointment
Duty Station: Dar-es-Salaam
Level: P-3
Location: United Republic of Tanzania
Categories: Information Communication Technology
For every child, a champion
The purpose of...
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limezitahadharisha Nchi za Afrika zinazokabiliwa na Kipindupindu na kueleza kuwa endapo hazitafanikiwa kudhibiti Ugonjwa huo unaweza kusababisha Shule kufungwa.
Dkt. Paul Ngwakum ambaye ni Mshauri wa Afya wa Kikanda wa Shirika hilo katika...
Job no: 568943
Contract type: Consultant
Duty Station: Dar-es-Salaam
Level: Consultancy
Location: United Republic of Tanzania
Categories: Health
UNICEF works in some of the world’s toughest places, to reach the world’s most disadvantaged children. To save their lives. To defend their rights. To...
Position: Consultancy for In-depth analysis
Job no: 564976
Contract type: Consultant
Duty Station: Dar-es-Salaam
Level: Consultancy
Location: United Republic of Tanzania
Categories: HIV/AIDS
Specific objectives:
i. To document characteristics of CLHIV identified through the FCA programme...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb.) amepokea Hati za Utambulisho za Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto (UNICEF) nchini Tanzania, Bi. Elke Wisch katika ofisi ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam.
Waziri Tax...
Utafiti mpya uliofanywa na Shirika la Kuhudumia Watoto Duniani (UNICEF) umeonesha dunia inakabiliwa na ongezeko kubwa la Wanawake Wajawazito, Wanaonyonyesha na Wasichana waliothiriwa na Uhaba wa Chakula na #LisheDuni.
Watoto Milioni 51 wenye chini ya miaka 2 wanakabiliwa na Udumavu kutokana na...
Mnamo 18/10/2022 UNICEF Tanzania iliingia mkataba na Yanga SC wenye lengo la kuunga mkono jitihada za Serikali kupambana na magonjwa ya COVID 19 na Ebola.
Mkataba huo ulianza kutekelezwa siku 5 kabla ya mechi ya jana dhidi ya Club Africain ambapo, UNICEF Tanzania walinunua tiketi 10,000 za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.