leo ni maadhimisho ya miaka 58 ya uhuru wa Zanzibar uliopatikana tarehe 10 December 1963.
Hivi CCM wanafaidika na nini kuendelea kuhubiri uwongo na kutokubali kuutambua?
Happy Independence Day
UHURU WA ZANZIBAR TAREHE 10 DECEMBER 1963
Naikumbuka siku hii kama jana vile.
Nilikuwa na umri wa miaka 11 na vitu viwili vitatu ndivyo vilivyonasa kwenye kichwa changu.
Kwanza ni kumuona Mzee Abdulrahman akitoka nyumbani kwake kashika sanduku anaingia kwenye taxi anawaaga majirani kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.