uhuru wa zanzibar

  1. D

    Tundu Lisu akiongelea kuhusu tarehe ya Uhuru wa Zanzibar

  2. D

    Miaka 58 ya uhuru wa Zanzibar

    leo ni maadhimisho ya miaka 58 ya uhuru wa Zanzibar uliopatikana tarehe 10 December 1963. Hivi CCM wanafaidika na nini kuendelea kuhubiri uwongo na kutokubali kuutambua? Happy Independence Day
  3. Mohamed Said

    Uhuru wa Zanzibar 10 Desemba 1963

    UHURU WA ZANZIBAR TAREHE 10 DECEMBER 1963 Naikumbuka siku hii kama jana vile. Nilikuwa na umri wa miaka 11 na vitu viwili vitatu ndivyo vilivyonasa kwenye kichwa changu. Kwanza ni kumuona Mzee Abdulrahman akitoka nyumbani kwake kashika sanduku anaingia kwenye taxi anawaaga majirani kuwa...
Back
Top Bottom