sms

  1. polokwane

    NMB hiyo tozo ya serikali mliyotuma SMS mnakata kwenye account zetu ni kiasi gani, asilimia ngapi?

    Kuna sms inatumwa na NMB kuwa wanakata tozo ya serikali kuanzia September 8 hadi Oktoba 10 ya miamala cha ajabu hawasemi wanakata Tsh ngapi au asilimia ngapi sasa kupitia hili watu wasije ibiwa pesa zao bank kwa kigezo tozo maana sasa tozo zimezidi. Mliotumiwa SMS kama hii na mna ufahamu na...
  2. Amaizing Mimi

    Katuma meseji kwangu badala ya kutuma kwa X wake

    Habari zenu wakuu. Juzi tuligombana na wife na baada ya mabishano ya siku mbili wife aliamua kwenda home kwao. Sasa leo asubuhi nikawa nachat nae kumbe wakati huo huo alikuwa anachat na x wake. Kuna sms ilibidi aitume kwa x wake akatuma kwangu.inaonekana x wake alikuwa anammind kwa kuolewa na...
  3. Ferruccio Lamborghini

    SMS zinatupunguzia wanaume pointi tatu muhimu

    Usiku kwenye daladala, saa ya simu yangu inaonyesha ni saa 4:47. Najilazamisha kuacha kusinzia, mara nasikia sauti za wanawake wawili wakizungumza viti vya nyuma yangu… stori zao zinanisaidia kukimbiza usingizi wangu. Nasikia mmoja anamwambia mwenzake; “basi wakati namalizia kuosha vyombo...
  4. pandagichiza

    Msaada: Jinsi ya kutuma sms kutoka excel

    Kama kichwa cha habari kinavyosomeka Nataka kutuma sms kwa watu wengi kila mtu na sms yake Nimeshatengeneza excel file yenye collum Jina|Phone number|SMS Ujumbe upo tayari tatizo ni jinsi kutuma kwenye hizo phone number
  5. magabelab

    Mifumo ya mtandao inayotegemea SMS

    Huduma ya Ujumbe Mfupi (SMS) ni sehemu ya huduma ya mawasiliano ya maandishi ya simu, ikitumia itifaki sanifu za mawasiliano zinazoruhusu kubadilishana ujumbe mfupi wa maandishi kati ya laini au vifaa vya simu za rununu. Matumizi ya SMS kama matumizi ya data ulimwenguni ni kubwa sana, na...
  6. Kasomi

    MME: Kama haufungui najitupia kwenye kisima bora nife

    NANI JEMBE; Nyumbani kwa mlevi, kwa nje kuna kisima kirefu Siku moja Mume alirudi usiku amelewa top, Mambo yakawa hivi: MME: Fungua mlango MKE: Leo sifungui Nimechoshwa na ulevi wako MME: Kama haufungui najitupia kwenye kisima bora nife MKE: Kufa hauna faida yoyote kwangu MME: akachukua jiwe...
Back
Top Bottom