ruud van nistelrooy

  1. JanguKamaJangu

    Mashabiki wamwambia Van Nistelrooy “Hujui unachokifanya”

    Baada ya timu yao kufungwa Magoli 2-0 dhidi ya Fulham ikiwa ni mchezo wao wa 7 mfululizo kupoteza katika Premier League, mashambiki wa Leicester City wamemgeukia kocha wao, Ruud van Nistelrooy na kumwambia “Hujui unachokifanya”. Mashabiki hao waliimba katika mchezo huo uliopigwa kwenye Uwanja...
  2. The Mongolian Savage

    Ruud van Nistelrooy kocha mpya wa Manchester United ni mbaguzi

    Yeeeerrrrreeeeh Mimi siyo shabiki wa Man U lakini nachukia sana ubaguzi kwenye mpira hasa vijana wetu waafrika weusi wanavyobaguliwa. Huyu mdachi Ruud van nistelrooy kocha mpya wa muda wa Manchester United ni mbaguzi. Kaonesha ubaguzi wake waziwazi kwa kutomchezesha mwamba wa kiafrika...
Back
Top Bottom