Date::8/30/2008
Kikwete umeshindwa EPA, tunakusubiri Richmond
Na Joyce Mmasi
Mwananchi
HATIMAYE ile taarifa ya utekelezaji wa maazimio ya bunge kuhusu zabuni ya umeme wa dharura iliyotolewa kwa kampuni tata ya Richmond Development Limited imetolewa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.
Kila mtu...
Date::8/28/2008
CUF waisakama serikali kuhusu Richmond, EPA, rada, ufisadi .....
Kizitto Noya na Saa Mohamed
Mwananchi
MWENYEKITI wa Chama Cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amesema serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imekosa maadili ya uongozi kutokana na kutowachukulia hatua za...
Kwa mujibu wa tangazo la spika wa Bunge alilolitoa muda mchache uliopita ni kuwa Waziri mkuu atawasilisha taarifa yake siku ya alhamisi kuhusiana na utekelezaji wa maazimio 21 ya Bunge kuhusiana na Richmond.
Hivyo basi siku hiyo itakuwa ni siku ya kusikia hatua gani zimechukuliwa na nini...
Hicho ndicho nilichosema nimenotice katika maelezo ya Rostam. Siyo kwamba hakuhusika, na hajawahi kukanusha hicho. Yeye anasema walichunguza na hawakuona jina lake. Vitu hivi ni viwili tofauti. Rostam hajawahi kukana kuhusika na Richmond na Dowans. Sikiliza tena majibu yake alipoulizwa hata...
mama mongela anaongea sasa bungeni, na amependekeza ile mitambo ya richmond/dowans itaifishwe ili itusaidie wakati wa dharura.
mimi namuunga mkono, kuwa wasiruhusiwe kuichuka hiyo mitambo, ikae hapo kama guarantee wakati tunawadai mapesa waliotuchukulia kwa mkataba feki
Soma
Uzi maalum wenye...
Ex-Richmond power deal may be extended to 2012
By Tom Mosoba
THE CITIZEN
The Dowans emergency power supply contract could be extended for another three years despite stiff opposition to the project, The Citizen can report.
While the Government is under pressure from MPs and the general...
Tunajadili Bajeti: Lakini wanasiasa wanayajua haya?
Na Charles Kayoka
Mwananchi
WAKATI huu tunapoijadili bajeti sijui kama wanasiasa na watunga sera wetu wanalijua hili ninaloandika hii leo. Nilikuwa ziarani mkoani Rukwa hivi karibuni kwa ajili ya kujadiliana na waaandishi wa habari wenzangu...
Posted Date::6/16/2008
NEC yazika mzimu wa Richmond
*Baadhi ya wabunge watetea watuhumiwa rasmi
*Wataka mijadala ya EPA, Richmond iwekwe kando
* Wengine wataka wachukuliwe hatuza zaidi
*Kikwete awaruhusu kuikosoa serikali kwa hoja
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Mwananchi
KUNDI la wabunge na...
NEC yazika mzimu wa Richmond
*Baadhi ya wabunge watetea watuhumiwa rasmi
*Wataka mijadala ya EPA, Richmond iwekwe kando
* Wengine wataka wachukuliwe hatuza zaidi
*Kikwete awaruhusu kuikosoa serikali kwa hoja
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Mwananchgi
KUNDI la wabunge na wajumbe wa Halmashauri...
Suala la kashfa ya Richmond na mabilioni yaliyochotwa katika Akaunti Maalum ya Madeni ya Nje (EPA) katika Benki Kuu ya Tanzania (BOT), linatarajiwa kutawala mkutano wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (NEC-CCM) na waliotuhumiwa kwa kashfa hizo kujieleza mbele ya wajumbe wenzao na wabunge...
Parliament to discuss EPA, Richmond -Speaker
2008-06-01 10:45:11
By Staff Reporter
The Speaker of the National Assembly, Samuel Sitta, said yesterday the coming budget session of the Union Parliament will discuss the External Arrears Payment Account and the Richmond power contract scandals...
- Mwenyekiti Kamati ya Richmond akatiwa maji (Gazeti la Majira)
Na Rehema Mwakasese
Soma
Uzi maalum wenye matukio yote kuhusu sakata la Richmond
Ufisadi wa EPA, Richmond wadhalilisha Watanzania Marekani
Who is this guy? Why did he do this & under what capacity? Is he the "de-facto spokesperson" for Tanzanians living in the US? Aliwakusanya akina nani na kukusanya maoni yao halafu baadaye kuyapeleka uko Mwananchi? Anafanya kazi ubalozini?
Mimi naichukulia hii kitu kama ni "kujikweza kusiko na...
Richmond kubwa zaidi yaibukia Mwanza
*Ni mkataba wa umeme wa Sh155 bilioni
*Ulisainiwa na serikali Oktoba 2006
*Mitambo haijawahi zalisha umeme
*Mwekezaji analipwa Sh9bn kila mwezi
Na Waandishi Wetu
MKATABA wa Sh155.2 bilioni wa Kampuni ya Marekani kwa ajili ya kuzalisha umeme wa dharura...
Richmond, EPA kuibukia Butiama
Mwandishi Wetu Machi 12, 2008
Raia Mwema
Azimio la Butiama kuitikisa CCM
Wahusika wadaiwa kuanza kutoa rushwa
UAMUZI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kupeleka vikao vyake vya juu vya Kamati Kuu yake (CCM) na kile cha Halmashauri Kuu (NEC) kijijini Butiama, una...
Richmond yaibukia Uganda
Waandishi Wetu Machi 5, 2008
Soma
Uzi maalum wenye matukio yote kuhusu sakata la Richmond
Vyuo vikuu watoa tamko juu ya EPA, Richmond
SAKATA ya kampuni hewa ya kufua umeme wa dharura, Richmond Development LLC, ya Marekani, limevuka mipaka na kujadiliwa...
Wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu mjini Iringa vya Mkwawa, Ruaha na Tumaini, wamefanya maandamano mjini hapa na kutaka bei ya umeme ishuke mara moja. Aidha wanafunzi hao pia wametaka waliochangia kupanda kwa huduma hiyo ya kijamii wafikishwe mahakamani haraka, wafungwe maisha au kunyongwa...
na Mwandishi Wetu | Tanzania daima
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Johnson Mwanyika, amesema hana tatizo licha ya kutakiwa kujiuzulu na Kamati Teule ya Bunge, iliyopewa kazi ya kuchunguza mchakato wa zabuni ya Kampuni ya kuzalisha umeme wa dharura ya Richmond.
Aidha, Mwanyika alishindwa kuweka...
Ni kuwa mjadala wa Richmond ndio unaanza japo mbunge wa Kigoma Mjini ndugu Peter Serukamba alimtaka spika kumpa ufafanuzi kwanza kuwa ni kwanini Waziri mkuu hakupewa nafasi ya kujitetea kwenye kamati husika.
Waziri mkuu kaamua kujitoa kwenye meza na amekuwa mchangiaji wa kwanza kuchangia...
Mara baada ya kuahirishwa kikao cha Bunge jana jioni, Waziri Mkuu aliitisha kikao cha Mawaziri na Manaibu wao akidai ni kikao cha KIKAZI.
Katika kikao hicho aliwaambia kwamba serikali ilikua na nia njema katika suala zima la Richmond na kwamba mawaziri wanaothubutu kushabikia ripoti ya Richmond...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.