Hello thinkers
Salaam wakuu!
Nilikiwa naomba mtu mwenye ushauri au ujuzi wa kupata
TRAVEL INSURANCE CERTIFICATE, FLIGHT RESERVATION, HOTEL RESERVATION.
Hizi ni uambatanisho wakupata viza/Visa ya kusafiria kwa mda.
Kama kuna mtu mwenye experience please tujuzane hata kama mtu ataona noma...
Hello, thinkers
Salaam wakuu!
Nilikiwa naomba mtu mwenye ushauri au ujuzi wa kupata
TRAVEL INSURANCE CERTIFICATE, FLIGHT RESERVATION, HOTEL RESERVATION.
Hizi ni uambatanisho wakupata
viza/Visa ya kusafiria kwa mda.
Kama kuna mtu mwenye experience please tujuzane hata kama mtu ataona noma...
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 32
Naishi Dar es salaam
Nimemaliza form six
Nimesomea Air Ticketing
Nina experince ya zaidi ya miaka 5 kwe flight reservation
Nina experince ya miaka 2 kama receptionist kwenye 4 star hotel.
Kwasababu ya Corona kampuni niliyokuwa naifanyia kazi biashara imeyumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.