Wakati NATO wenzake wanataka vita iendelee, Rais wa Ufaransa anaonekana kutoamini kuwa wana uwezo wa kumaliza vita. Amemuomba Papa awaite warussi na USA wakae mezani kuyamaliza.
Urusi n USA ndo walianzisha vita na ndiyo watamaliza. Siyo EU.
Urusi siyo Zimbabwe
Macron says he urged Pope to...
Mkutano wa kimazungumzo baina ya Vatican [ Pope Francis ] na China [ President Xi Jinping ] umeshindwa kufanikiwa .
Reuters imeripoti kuwa “ Vatican iliiambia China kuwa papa Francis alikuwa tayari kukutana na Rais wa China Xi Jinping kwa ajili ya mazungumzo wakati viongozi hao walipo kuwa...
Hatari sasa inakuja baada ya papa Francis kutoa tamko kuwa ni jukumu la nchi kuipatia Ukraine silaha ili ijikomboe kutokana na uvamizi wa Urusi.
Hayo aliyasema juzi kwa waandishi wa habari akiwa kwenye ndege yake kutokea ziarani nchini Kazakhstan.
========
Jana Alhamis Papa Francis amesema...
Papa Francis Amesema Anaweza Kuachia Cheo Chake Kutokana Na Kusumbuliwa Kiafya Hasa Goti Lake
Ikiwa Atafanya Hivyo Basi Atafuata Nyayo Za Mtangulizi Wake Papa Benedict Ambaye Alipojiuzuru Nafasi Hiyo Kwasasa Anaishi Vatican
Ingawa Papa Francis Tangu Aapishwe Amekuwa Akisema Endapo Kazi...
Haya maisha kama ukiwa umezoea sana jambo. unaweza teseka sana. Mimi nimechelewa sana kuanza kutumia papa.siku nimeonja tu nikapenda sana... Nikajikuta nitafuata papa popote pale nile.
Natamani nioe ili niwe napata papa wakati wote. Sisi wa kanda ya Ziwa wengi tukija Dar basi ndo unakuwa ulevi...
Orodha ya walioteuliwa imeambatanishwa
Jan-Marc Aveline, archbishop of Marseille, France
Peter Okpaleke, bishop of Ekwulobia, Nigeria
Leonardo Ulrich Steiner, archbishop of Manaus, Brazil
Filipe Neri Antonio Sebastao di Rosario Ferrao, archbishop of Goa and Damao, India
Robert Walter McElroy...
Baada ya tukio la watoto 19 kuuawa kwa kufyatulia risasi Texas, Marekani, viongozi mbalimbali Duniani wameomboleza vifo hivyo wakiongozwa na Papa Francis ambaye amesema amesikitishwa na mauaji hayo.
“Nimeumizwa sana na mauaji haya katika shule ya msingi, nawaombea watoto hao na watu wazima...
Picha ya Maktaba, Rais Vladimir Putin (kulia) alipokutana na Papa Francis, Vatican mnamo Julai 4, 2019.
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis amesema kuwa aliomba kukutana na Rais wa Urusi, Vladimir Putin ili kumshawishi kumaliza vita dhidi ya Ukraine lakini hajapata majibu.
Papa...
Wazungu wana msemo wanasema they don't give a damn or (don't give a f.uck) kwa maana kwamba they don't care about anything or anyone. Hali hii imejitokeza kwa Rais Putin dhidi ya Papa wa Kanisa katoliki.
Papa anasema alimtuma mwanadiplomasia mkuu wa Kanisa aombe mkutano wa Papa na Putin lakini...
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis ameikosoa Urusi kwa kueleza kuwa vita dhidi ya Ukraine ni ishara ya kudidimia kwa hali ya ubinadamu na kwamba imesababisha mateso na majonzi.
Papa Francis (85) hakuitaja moja kwa moja Urusi lakini aliposema kuwa mashambulizi ya Mji wa Mariupol...
Mamilioni ya waumini wa dini ya Kikristo duniani leo Aprili 17, 2022 wanasherehekea Sikukuu ya Pasaka kukumbuka kufufuka kwa Yesu Kristo baada ya kusulubiwa msalabani zaidi ya miaka 2000 iliyopita.
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis, ameutumia ujumbe wake wakati wa misa ya mkesha...
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis amealikwa mjini Kiev wakati jiji hilo likiwa katika hatua ya kukaribiwa na hali nyingine ya mashambulizi ya Urusi.
Ofisi ya Papa ya mjini Vatican imethithitbitisha kupokea barua hiyo iliyoandikwa Machi 8, kutoka kwa Meya wa Kiev Vitali...
Papa mstaafu Benedict XVI amekiri kwamba aliwahi kusema uongo kwa wachunguzi na wapelelezi wa kesi ya kuwalawiti watoto kuhusu padri aliekua anachunguzwa kwa kuwalawiti wavulana.
Papa Benedict ameomba asamehewe kwa kusema uongo na kuficha ukweli kwa wachunguzi.
Soma mwenyewe hapa
Nawaza utakatifu anapewaje kiongozi kibinadamu tu?
Je, kuna ushahidi wa maandiko unaoonesha kuwa Papa anakuwa mtakatifu automatically?
Na Kama Roho mtakatifu anaongea na watu wake kipi wafundishe why wampangie cha kufundisha dunia nzima?
Papa Francis, Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani
Papa Francis, katika mahubiri yake mwanzoni kabisa mwa maadhimisho ya Sinodi ya Maaskofu mnamo Oktoba 10 2021, Mjini Roma, Vatican, alikazia mambo makuu matatu mintarafu Liturujia ya Neno la Mungu: Kukutana, Kusikiliza na Kung’amua.
Katika Dominika...
The third-largest pizza delivery restaurant in the world Papa John's International Inc's plans to open 60 fast food outlets in Kenya and Uganda from next year, it announced Tuesday.
The American Louisville, Kentucky - based pizza chain said it will open the outlets in a partnership deal with...
Hapa mtawaona Anna Makinda, Kingunge!! Rais Mwinyi kipindi hicho akiwa ndo rais wa TANZANIA.
Tuwe wakweli Tz inapiga hatua japo ni kwa mwendo mdogo sana. Wengine mlikuwa wachanga kipindi hicho sasa mnandevu.
https://www.youtube.com/watch?v=K9hGDiFCTb4&t=1s
Jaribio la Rais wa Argentina Mauricio Macri kutoa zaidi ya dola milioni moja kwa hisani/msaada iliyoungwa mkono na mmoja wa watu wake maarufu nchini Papa Francis alirudishwa nyuma mapema wiki hii, wakati kiongozi wa Katoliki alipokataa zawadi hiyo inaonekana kwa sababu kiasi kilikuwa na nambari...
Habari za uzima ndugu zangu wana JF.
Hii ni story ya ukweli kabisa, na ilinifunza kitu flani kwenye maisha.
Sasa sio mbaya kama tutajifunza wote kupitia story hii.
Katika jaribio la utafiti, nilimshika samaki kambale kwenye mto flani pale Kigoma, samaki huyo niliondoka naye nyumbani akiwa...
PAPA YOHANE PAULO II(POPE JOHN PAUL II)alipigwa risasi mwaka 1981 na raia wa uturuki aliyejulikana kwa jina la Mehmet Ali Agca.
Papa alinusurika kufa na Mehmet alikamatwa na kufungwa Maisha Lakini mwaka 1983 Papa akaenda kumtembelea Mehmet jela na kumsamehe kosa alilolifanya la kujaribu kumuua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.