masters

  1. Tommy 911

    Scholarships za Master's katika Chemistry

    Habarin Wana JF, Mimi ni mwanafunzi wa bachelor of science in chemistry mwaka wa pili ndoto zangu ni kuendelea na masters baada ya kuhitimu kuhusu GPA nina 4.1 first year naimani itarange humo Hadi 3.8 minimum (final year). Hivyo ningependa kujua km kuna scholarship na namn ya kupata ktk moja...
  2. Kikwava

    Kwanini Tanzania Walimu wenye Masters hawatambuliwi kimasilahi?

    Habari. Kwasasa dunia inafanya mapitio ya mitaala ya kufundshia/kujifunza huko mashuleni, huku swala la elimu za walimu ambao ndio wadau wa mitaala hiyo likiwa gizani. Kwa mfano, kwa Tanzania muundo wa kiutumishi wa walimu wa shule za msingi na sekondari unaanzia elimu ya cheti hadi shahada ya...
  3. G

    NAOMBA KUJUA TOFAUTI ZA KOZI ZA MASTERS ZIFUATAZO.

    Habari wana JF Kuna kozi nataka kusoma ila naomba ushauri wenu, nijue tofauti zake kwanza na ipi bora, kuna MSc in PROJECT PLAANING AND MANAGEMENT inatolewa IAA, BBA in PROJECT MANAGEMENT inatolewa TIA na Msc in PROJECT PLANNING, MONITORING AND EVALUATION inatolewa IRDP. Naombeni maoni ili...
  4. Sirai

    Muajiriwa mpya ila nahitaji kusoma Masters ya Health Economics evening class naomba abc wakuu

    Mimi ni muajiriwa mpya katika taasisi fulan ya afya kabla ya ajira kutoka nilisha kua na plan ya kujiendeleza katika masters level Sasa nataka kufanya maombi ya masters in health economics and policy maswali nilionayo ni Barua ya muajiri release letter. Itawezekana muajiri kunikubalia coz...
  5. I

    Masters in science in project planing in monitorig and evaluation in health.

    Masters in science in project planing in monitorig and evaluation in health. MUHAS Masters of science in monitoring and evaluation in health . Mzumbe UNIVERSITY Masters in Arts in monotoring and evaluation . Open university. Naombeni utofauti wa hizo kozi wadau.
  6. Thread

    Aliyesoma Biotechnology anaweza kuchukua masters zipi?

    Habari, jqmani mtu aliyesoma degree ya biotechnology anaweza kusoma masters zipi akiamua kuendelea?
  7. Q

    Naomba kuelewa nikiwa na Masters nikaomba kazi yenye Qualification ya Bachelor

    Mfano kwenye tangazo la ajira linataka Data Analyst ila kwenye qualification wameandika Bachelor degree ila mimi nina Masters Je, nitakuwa disqualified kwa ku orodhesha kuwa ngazi yangu kubwa ya elimu ni Masters au katika kufanya maombi nisiseme kuwa nina Masters nionyeshe tu nina Bachelor...
  8. Execute

    Digrii, Masters na PhD zote zifutwe tuanzishe mfumo wa elimu unaoendana mazingira yetu

    Tanzania hakuna madaktari bali watoa dawa, hakuna wahandisi bali watu wa kufanya replacement ya vifaa, hakuna wasanifu bali watu wa kukopi, hakuna wanasiasa bali wachumia tumbo, nk Hii elimu ya sasa haina manufaa kwetu kwasababu hatuitumii kufanyia uvumbuzi wowote zaidi ya kuagiza bidhaa nchi...
  9. N

    Naomba kufahamishwa website zinazotoa full funded masters scholarship in Water resource Engineering

    Habari wandugu naomba kufahamishwa website zinazotoa full funded masters scholarship in water resource Engineering
  10. aka2030

    Mbunge wa Muheza, Mwana FA alipataje Master's Degree bila kuwa na Bachelor degree?

    Inashangaza sana hii
  11. C

    Ushauri: Nianze degree nyingine au niendelee masters then PhD

    Mods naomba msihamishe huu uzi kwenye hili jukwaa naona ndo nitapata msaada kirahisi. Ndugu WanaJF nilikuwa naomba ushauri Mimi nimesomea shahada ya uhasibu na fedha ila nawaza kusomea Mambo mengine maana nna interest na Mambo ya uhandisi, nawaza nianze diploma ya engineering then degree hasa...
  12. K

    Cheo kipya cha Muundo walimu wenye MASTERS

    Wanagenzi ni kweli kwamba kuna cheo kipya cha muundo kwa waalimu wenye masters degree.
  13. G

    Vyuo vinavyotoa Masters degree ambavyo havipo kwenye orodha ya TCU (Post-Graduate guide book)

    Habari wanaJF Nilikuwa napitia kitabu cha TCU cha "Postgraduate Guidebook", Nikaona kuna baadhi ya vyuo kama CBE, TIA, IIA n.k ambavyo ni vya serikali na vinatoa hadi elimu ngazi ya Masters lakini kwenye kitabu hicho. Hii inamaanisha hizo kozi hazitambuliki na TCU? Au TCU wamevisahau...
  14. G

    Masters program

    Habari members! Naombeni muongozo ni masters ipi naweza kusoma undergraduate nimemaliza B.sc in civil engineering. N.B: mimi ni muajiriwa serikalini. Options nilizofikiria 1. Kufanya distance learning ambapo option ni OUT au UDSM -Kwa OUT kozi ni MBA au Masters ya Project management. Au...
  15. Mcqueenen

    Naomba kujuzwa jinsi ya kuapply Masters Muhimbili

    Hello wakuu. Kuna mtu anataka kuapply masters muhimbili, lakini nmejaribu website yao ya application haifunguki. Kuna tatizo au deadline imeshapita?
  16. mayowela

    Chuo kipi Tanzania chenye Unafuu wa Ada kwa kusoma Masters

    Habari wana jamvi, ni Chuo gani hapa kwetu chenye unafuu wa Ada kwa level ya Masters, hasahasa Masters of Business Administration. Na kwa wenye uzoefu kozi hii inaugumu wowote katika usomaji kama kwenye Degree ulisoma kozi ingime tofauti na hii. Nawasilisha kwa mrejesho zaidi.
  17. D

    Nikasome ipi kati ya masters ya education au nitafute bachelor ya kitu kingine

    Habari wanajamii Nimekuwa katika wakati mgumu baada kumaliza masomo yangu level ya bachelor degree tangu mwaka 2015 kwani sijawahi pata ajira yoyote ile Kwa sasa nina miaka 32, nauona uzee huu hapa unasogea ikiwa sina mali, mke wala kitu cha thamani ninachomiliki na mbaya zaidi naishi nyumbani...
  18. I

    Online Masters programmes zinazotolewa na Coursera zinatambulika na TCU?

    Naam wakuu kichwa kinajieleza hapo. Je hivyo vyeti vinavotolewa hapo vinatambulika na TCU kweli au ni kupoteza muda na fedha?
  19. Mtemi mpambalioto

    Serikali ya Tanzania ifute SAPU kwa Master's Level! ni aibu na mfumo wa kitoto

    Kwa kweli level ya MASTERS ni aibu kuweka Supplementary exams kwa kuwa hii ni levo ya kujengana uelewa tu! Mimi nashauri serikali wangeweka utaratibu wa mtu kurudia darasani kwa muda mfupi somo ambalo mtu hajafanya vizuri! au akipewa mtihani kama anatakiwa kupata A apewe sio kulazimisha marks...
  20. I

    Chuo gani (cha ndani au nje) ambacho unaweza kusoma masters online na cheti kikatambuliwa Tanzania?

    Kuna siku napataga muda mwingi wa free baada ya kumaliza mambo yangu. Ningependa nichukue mda huu kujiendeleza kimasomo kwa kusoma degree ya pili yaani masters ila iwe kwa njia ya mtandao. Je, kuna wenye uzoefu na suala hili wanishauri ni chuo gani kinachotoa huduma hii. Na kama kikiwa cha nje...
Back
Top Bottom