Habari, mimi sio mwandishi mzuri hivyo naomba penye makosa nivumiliwe.
Rafiki yangu anataka kununua gari ila yupo njia panda hajui achukue ipi kati ya gari hizi mbili.
1. Range Rover Velar
2. Toyota Land Cruiser TX
Kuhusu spare parts sijui mafuta sio shida kwake.
Ila sio mpenzi wa kukaa na...
Kuna watu humu wanasema hamas/Palestina ni mashujaa.. Sidhani kama kuna sense katika usemi huo wakati watu wanateketea kama si binadamu. Why not release hostages and look for a new alternative to your demands!
Israel hammered the Gaza Strip from the air, sea and land Monday as the war in the...
Hizi vyuma bado sijaziona kwenye STM na STN za serikali. Nina expect zikisambaa madereva wa Serikali watasumbua nazo sana mitaani.
Kumbuka inashare platform na big boss J300, na sasa wameipeleka kwenye electric power steering.
Engine options kuna 2.4L 2.7L 2.8L na Turbo charged, zote Petrol...
Duration: 5 Years
Objective: The primary goal of this project is to implement a blockchain-based system with AI integration to facilitate secure, transparent, and tamper-proof land registration and title management in Tanzania. By leveraging these technologies, the project aims to mitigate land...
A not well-known environmental company based in Dubai is ferociously striking deals across Africa to control African forests. According to the UK magazine, 8% of Tanzanian forests are now owned by it, and including over 20 per cent of Zimbabwe 10 per cent of Liberia! The scramble for African...
Hayo ni maneno katika kibwagizo cha wimbo wa Marekani. Marekani ni taifa ambalo pamoja na makandokando yake lakini kama umetembea duniani lakini hujafika Marekani huwezi kusimama mbele ya watu ukasema umetembea!
Sasa katika kibwagizo cha wimbo huo wa Marekani yanayosema "marekani ni ardhi ya...
NAOMBA USHAURI KUHUSU TOYOTA LAND CRUISER ZX.
Wakuu naomba ushauri wa kununua used TOYOTA LAND CRUISER ZX or VX series 202. Ipi bora na bei zake used zikoje kulingana na mileage za around 100,000.
Naomba ushauri pia kuhusu mafuta na spare zake. Shukrani.
Nimepitia udhalilishaji wa kimtandao naomba kupata utaratibu nifanyeje tafadhali.
Wamenidhalilisha vibaya mno wameniundia mpaka group, wameadd ndugu zangu na marafiki wakidai ni tapeli nimekaidi kulipa mkopo wao na matusi juu.
Kampuni inaitwa Credit Land
Anonymous (bf5b)
Thread
kampuni
kampuni ya mikopo
land
mikopo
udhalilishaji
Kwako Mkuu Dr,
Binafsi Mimi ni Kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 23, mwanafunzi mwaka wa tatu moja ya a chuo kikuu hapa jijini (DSM), binafsi Dr, naona wewe ni mtu humble, passionate na mwenye utu sana.
Dr Haya Land, mm binafsi naona na mengi sana ya kujifunza Toka kwako hasa inje ya...
Habari za wakati huu wadau wa Muziki natumai mmeamka salama.
Wapenzi wa Muziki Aina ya Hip Hop nina imani mnaitambua vyema Historia ya Muziki huu, Muziki huu Asili yake ni nchini Marekani, lakini kibongo bongo Muziki huu ulishirika "Hatamu" Miaka 1990 na kuna makundi kibao ya Muziki wa Hip Hop...
REQUEST FOR PROPOSALS
RFP Number: 2024-TI3P- PROC-0009
Subject: Request for Proposals for Business Development Services
Issuance Date: January 20th 2024
Offer Deadline: January 31st 2024, 5:00pm East Africa Time
Land O’Lakes Venture37 (Venture37) is soliciting proposals from qualified...
As the subject suggests, through the JF social media International platform, the government of 'South Africa', to debating the importance of replacing the current country's name to reflect the African indigenous community as it used to be known by the natives ( before colonialism) whereby there...
Kama ilivyo Kwa Mawaziri, Makatibu wakuu, Majenerali wastaafu, mwenezi na Wakuu wa Mikoa. Madiwani nao wanastahili vyombo vya usafiri vyenye hadhi.
NB: hizi gari zitarahisisha kumtembelea miradi ya maendeleo Kama ilivyoainishwa kwenye ilani
Position: Land Tenure Officer
Project/Program: USAID Tumaini Kupitia Vitendo
Duty Station: Kigoma or Mpanda
Reporting Line: Land planning and tenure lead
Key Responsibilities and Duties:
Main responsibilities will include but not limited to:
Work with the Land Use Planning Officer, to...
Ikiwa serikali imechukua eneo lako na kulipa fidia, kuna hatua kadhaa unazoweza kuchukua kuhakikisha kuwa unapata haki yako stahiki. Hapa kuna miongozo kadhaa:
Thibitisha Malipo:Hakikisha kuwa unapokea malipo yote kama ilivyokubaliwa kwenye makubaliano ya fidia. Angalia kwa makini kiasi cha...
(fungu la 24 - 30)
UTANGULIZI
Mwongozo huu wa umiliki kwa ajili ya raia wa Tanzania unatokana na fungu la 24 - 30 la sheria ya ardhi Na. 4 ya mwaka 1999. Aidha, ardhi inayoombewa milki inaweza kuwa kwenye mojawapo ya makundi yafuatayo kwa maeneo ya mijini hapa Tanzania.
Ardhi inayotolewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.