Laika, mbwa wa kwanza kufika anga za juu za dunia.
Mbwa huyu ndiye alikuwa kiumbe wa kwanza anayeishi kufika katika nzingo wa dunia, safari hiyo ikifanikishwa na chombo cha anga za juu cha nchini Urusi, kwa kutumia mfano wa satelite ya majiribio ya kisoviet Sputnik 2 mnamo novemba 3, 1957...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.