kumbukumbu

  1. Mzukulu

    Ni Kumbukumbu tu jamani kutokana na CORONA hii, hivyo tusinuniane tafadhali!

    Kwa mujibu wa CAF, Yanga ya Tanzania inashikilia rekodi ya kufungwa mabao mengi zaidi katika msimu mmoja wa michuano ya klabu Bingwa Afrika hatua ya Makundi. Msimu huo ulikuwa ni mwaka 1998, Yanga ilifungwa mabao 19 katika mechi 6 za Makundi, ikipoteza dhidi ya Asec Mimosa ya Ovprt Coast...
  2. GodstarTZ

    Kumbukumbu zangu: Majasusi wa KGB walivyowafanya magaidi wa Hezbollah waliowateka wanadiplomasia wao wanne

    Picha za video za hivi karibuni zilizokuwa zikionesha jinsi wanahabari wa kimarekani bwana James Foley pamoja na Steven sotloff wakikatwa vichwa na magaidi wa ISIS inanikumbusha stori ambayo ilitokea nchini Lebanon mnamo mwaka 1985. Mnamo mwezi wa tisa, tarehe 30, mwaka 1985, kundi la watu...
  3. GodstarTZ

    Kumbukumbu zangu: Jihad John mkataji vichwa wa Islamic State

    Moja ya stori zilizotokea miaka ya 2014-2015 ni ya kijana wa kiarabu raia wa Uingereza ambaye alikuja kuwa tishio la dunia baaada ya kujiunga na kikundi cha ugaidi kinachojulikana kama Islamic State. Kijana huyu alikuwa anajulikana kwa Jina la Jihad John, huku akiwa maarufu sana kwa kuonekana...
Back
Top Bottom