kufungua biashara china

  1. ChoiceVariable

    Kijana wa Kitanzania afungua biashara ya mabilioni nchini China

    Huyu bwana(30years) alienda China mwaka 2018 kujifunza Kichina ambapo akaona Changamoto na kuigeuza fursa. -Anamiliki kampuni ya Logistics -Anamiliki Warehouses -Anaishi na kuajiri Wachina anawakoromea. My Take: Tunataka Vijana wengine wapambanaji kama Hawa
Back
Top Bottom